Wakurya na kiswahili

Mulhat Mpunga

JF-Expert Member
Joined
Oct 28, 2010
Posts
27,256
Reaction score
16,317
hahahahahahahaha hii iliniacha hooi bin taabani




MKURYA MMOJA ALISIKIKA AKISEMA:



AROO! HAYA MAJITU YANASHINDWA KUBIKIRI FIZURI, MAWASO YAO YOTE YAKO KWENYE KURA KIBORO NA UCHI.


akiwa na maana ya:



ALOO! HAWA WATU WANASHINDWA KUFIKIRI VIZURI, MAWAZO YAO YOTE YAKO KWENYE KULA KIPORO NA UJI.:eyebrows:








[TD="width: 100%"]
[/TD]

 

Teh teh teh

Mkurya. Hifi mutafungua lini magambuni yenu?
Akiwa na maana: hivi mtafungua lini makampuni yenu?


Teh, badala ya p wanaweka g
 
Mmoja alikuwa jeshini akawakuta kuruta wageni wamekalia fumu huku saa meja kasima maana alikuwa hana gwana na wale ni wageni, coplo akawashia moto kwa kusema, "nyie kuruta mmekaria bomu na saa meja kasima,muna bhiriki bizuri" duh waliruka hao!
 
Haro hiri rinyama ritamu
 
Teh teh teh,achen fix wakuu.
 
Mzee wa Kikurya akamwmuliza Mzee mwenzake......Hivi mwanao anafanya kazi gani vile? akamwambia anafanya kazi NAFCO, ....Mzee kauliza .....Ni Kajeshi gani hako tena?
 
acheni mambo ya kipuuzi mmexhakuwa mbona mnawajadili na kuwakxhfu wenzenu kiac hicho? jct imagine if it could be u?
 
Haloo mleta mada. Usitafsiri jokes, unapunguza utamu wake, hasa kwangu mimi binafsi.
 
We mama chacha embu njoo huku nikurenge!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…