Wakurya na kiswahili

Wakurya na kiswahili

acheni mambo ya kipuuzi mmexhakuwa mbona mnawajadili na kuwakxhfu wenzenu kiac hicho? jct imagine if it could be u?
Alafu sasa wanasema uongo na maneno mengi wala hayatamkwi hivyo, labda ni watani zetu
 
Mmoja alikuwa jeshini akawakuta kuruta wageni wamekalia fumu huku saa meja kasima maana alikuwa hana gwana na wale ni wageni, coplo akawashia moto kwa kusema, "nyie kuruta mmekaria bomu na saa meja kasima,muna bhiriki bizuri" duh waliruka hao!
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Mtoto wa kikurya ambae ni Mp jeshini kapata nafasi ya kwenda Cadet, baba yake kusikia taarifa akasema "Rione hiri rimeacha MP rimekwenda Kadeti"
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]
 
Back
Top Bottom