technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 12,706
- 52,355
Hawa jamaa ni majasiri Sana unakumbuka zile kelele za nishati Safi.
Sasa Kuna maliasili na polisi walijichanganya wakaingia anga za wakurya wanaojishughulisha na biashara ya mkaa kwenye ili pori la kuelekea kisarawe pale.
Aisee walichokutana nacho hawatokaa warudi tena kwenye lile pori.
Yaani kelele zote za nishati Safi ziliishia pale!!😀😀😀
Kumbuka ile story ya Zakaria Tena kwenye utawala wa Jiwe
Wakurya nawapa salute Sana tungekuwa wote tupo Kama hawa jamaa sasahivi tungekuwa mbali sana kimaendeleo
Hawataki mchezo ukiingilia maslahi yao eti unazuia mkaa wakati mpaka Ikulu wanautumia!!
Wakurya Shikamooni nyie ni watu na nusu CCM isingekuwa inanyanyasa watu kiasi hiki Kama tungekuwa na ujasiri Kama wa Hawa jamaa!!
Sasa Kuna maliasili na polisi walijichanganya wakaingia anga za wakurya wanaojishughulisha na biashara ya mkaa kwenye ili pori la kuelekea kisarawe pale.
Aisee walichokutana nacho hawatokaa warudi tena kwenye lile pori.
Yaani kelele zote za nishati Safi ziliishia pale!!😀😀😀
Kumbuka ile story ya Zakaria Tena kwenye utawala wa Jiwe
Wakurya nawapa salute Sana tungekuwa wote tupo Kama hawa jamaa sasahivi tungekuwa mbali sana kimaendeleo
Hawataki mchezo ukiingilia maslahi yao eti unazuia mkaa wakati mpaka Ikulu wanautumia!!
Wakurya Shikamooni nyie ni watu na nusu CCM isingekuwa inanyanyasa watu kiasi hiki Kama tungekuwa na ujasiri Kama wa Hawa jamaa!!