Wakusanyaji na Wachakataji wa Taarifa Binafsi Tanzania watakiwa kuanza kujisajili kwenye Mfumo wa Tume

Wakusanyaji na Wachakataji wa Taarifa Binafsi Tanzania watakiwa kuanza kujisajili kwenye Mfumo wa Tume

BARD AI

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2018
Posts
3,591
Reaction score
8,826
Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi imetangaza kuanza Usajili wa Wakusanyaji na Wachakataji wote wa Taarifa Binafsi nchini ambapo imetoa muda wa miezi 6 kuanzia leo Aprili 10, 2024 kwa wahusika kukamilisha zoezi hilo

Watoa Huduma hizo wanapaswa kutekeleza wajibu huo kwa kufuata Kifungu Namba 14(1) cha Sheria ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi Namba 11 ya mwaka 2022

Wakusanyaji na Wachakataji wote wanatakiwa kufanya Usajili kupitia Tovuti ya Tume ambayo ni www.pdpc.go.tz na kwa msaada zaidi wasiliana nao kwa 0718462536, 0744057652, 0615779070 au kwa Barua Pepe helpdesk@pdpc.go.tz

Screenshot_2024-04-10-16-40-44-636_com.instagram.android-edit.jpg
 
Mimi Bado cjaelewa hii taarifa.
Mimi na jiwe nini kitu kimoko alisema bibi ushungi
 
Sasa taarifa binafsi ni taarifa binafsi, tume inausikaje hapa, ushungi aache usengerema
 
Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi imetangaza kuanza Usajili wa Wakusanyaji na Wachakataji wote wa Taarifa Binafsi nchini ambapo imetoa muda wa miezi 6 kuanzia leo Aprili 10, 2024 kwa wahusika kukamilisha zoezi hilo

Watoa Huduma hizo wanapaswa kutekeleza wajibu huo kwa kufuata Kifungu Namba 14(1) cha Sheria ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi Namba 11 ya mwaka 2022

Wakusanyaji na Wachakataji wote wanatakiwa kufanya Usajili kupitia Tovuti ya Tume ambayo ni www.pdpc.go.tz na kwa msaada zaidi wasiliana nao kwa 0718462536, 0744057652, 0615779070 au kwa Barua Pepe helpdesk@pdpc.go.tz

View attachment 2959804
Wangefafanua wanawalenga kina nani hasa? Je wanaotoa taarifa huko TikTok nk wanahusika?
 
Mijizi ya pesa za jasho letu, inafanya kila hila kuendelea kutukamua!

Mshindwe na mlegee!
 
Back
Top Bottom