Wakuu baada ya changamoto sasa nahitaji ajira ya office attendant serikalini .

Wakuu baada ya changamoto sasa nahitaji ajira ya office attendant serikalini .

Manfried

JF-Expert Member
Joined
Oct 11, 2024
Posts
1,288
Reaction score
4,074
Wakuu asiyekubali kushindwa sio mshindani .

Nipo hapa mnishike mkono najua JF ni familia kubwa.

Nahitaji Ajira ya office attendant Elimu yangu ni Advanced diploma. Ila sijafanikiwa kupata Ajira miaka minne.

Nipo tayari kuanzia chini , nahitaji Ajira ya office attendant .

Nina Cheti cha form four kizuri tu

Kwanini serikali ?
Lengo ni muunganishe Mzazi wangu katika BIMA maana anasumbuliwa na magonjwa ambayo ni endelevu .


Ila pia hata nikipata katika taasisi binafsi au shirika nitashukuru Sana.🙏🏽

Asanteni.
 
Sababu yako ni ya kijinga eti serikali kwaajili ya bima ya wazazi nani kakwambia bina ni kwa ajilinya wafanyakazi wa serikali??
Halafu inavyosema una cheti ya form 4 kizuri kinasaidia nini huko kwenye office attendant wakati umesema una advance niploma?? Maelezo yako yanatia mashaka
 
Usikate tamaaa, utashinda. Nakuelewa sana ndg yangu
 
Back
Top Bottom