Wakuu depression inanimaliza

Wakuu depression inanimaliza

Auko peke ako kaka .mimi ni mmoja ninaepitia nyakati ngumu za maisha mlo mmoja mchana usiku nakula andazi moja ila naimani ni kuwa na subra na kutengeneza marafiki wapya. Jamiiforum ndio unipotezea stress za maisha .
Kumbe tupo wengi! pole man yaani.
TusiGIVE UP MKUU.
 
Jana asubuhi naenda kazini nikiwa njiani kwenye foleni, pembeni barabaranini nikamuona kijana kavaa vizuri kachomekea kavaa na miwani kanyanyua bango limeandikwa kwa herufi kubwa ' IAM FINDING A JOB, HELP ME'. Tujifunze kuwa na uwekezaji kwenye biashara za familia kuzuia mateso ya vizazi vyetu.
 
Depression usingeweza hata kuandika
Omba sana usipate Depression maana kila kitu utakiona kibaya hata kuoga utaacha
Mawazo ya kujiua ni kama unakunywa maji tu
Hizo ni stress tu ukipigwa ka milioni aah
Duh kuoga Mara moja kwa wiki mkuu
 
Watu wanachanganya depression na stress

Hiyo sio depression, hiyo ni stress,
Stress ni rahisi kutibu, ukitatuliwa hilo tatizo tu unapona, mfano hapo ukipewa kazi tu hapo au mtaji unapona

Ila depression haitibiki kirahisi, unaweza kuwa bilionea ukawa unateswa na depression
Uko Sawa ila stress na depression ni kaka na dada
 
Auko peke ako kaka .mimi ni mmoja ninaepitia nyakati ngumu za maisha mlo mmoja mchana usiku nakula andazi moja ila naimani ni kuwa na subra na kutengeneza marafiki wapya. Jamiiforum ndio unipotezea stress za maisha .
Umejuaje jinsia yake kuwa yeye ni kaka na sio dada
 
BRO JAPO UTAKUWA MDOGO KIUMRI BINAFSI NIMEKUELEWA,,

MAISHA NI UPUMBAVU MKUBWA,NINAYO KAZI,JAPO INALIPA KIDUCHU ILA NIMESHIDWA KUFANYA KILA KITU(NAMAANISHA HATA KMOJA SIJAFANYA NA NNA 10YRS KAZN..
NAKUWA NATAMANI SIKU ZA MSHAHARA ZISIFIKE KWANI ZIKFKA WADENI NDO HUNIUMIZA KICHWA ZAIDI,NIKIUMIZWA HISIA PIA NA JIFICHA NIKIWA HUKO SILI,SICHUKUI DEMU ILA NABET NA KUNYWA POMBE JAP6 ZINANIDHURU!!
NIMEFANYA HIV KWA MUDA WA MIAKA KAMA 2 MFLULZO,

MATOKEO;NIMESHUKA KILO SANA,
NIMEUZA VITU VYANGU VYOTE,
SITAKIW NILKOPANGA KWN MKE NDO KAINGIA MKTABA WA UPANGAJ
SIWAJAR WATOTO
NINA MADENI MAKUWA HAYALIPIKI!
SIWEZ KWENDA AU KUMTEMBELEA MTU NA TUKAONGEA!

UKWEL NSHAPIGA HESAB ZA KUKMBIA AU KUJIMALZA ILA ZOTE ZIMEGOMA,NAPANGA LEO LEO KWENDA KANISANI!
 
Mkuu kwanza nikupongeze kwa kuweka mambo hadharani. Ni wachache sana wanashare na jamii matitzo kama haya. Kueleza tatizo lako hapa tayari kuna ahueni fulani utaipata ndani ya moyo wako. All the best mkuu.
 
Depression usingeweza hata kuandika
Omba sana usipate Depression maana kila kitu utakiona kibaya hata kuoga utaacha
Mawazo ya kujiua ni kama unakunywa maji tu
Hizo ni stress tu ukipigwa ka milioni aah
watu wana underestimate depression i've been there, pamoja na kasalary cha kuendeshea maisha ila sikufanikiwa kuchomoka mpaka dakika hii naandika comment hii, i'm not sure kama ipo au haipo, it's a hell.
 
Kwema ndugu zangu,

Niende moja kwa moja kwenye mada, nimekuwa napitia hali ngumu ya maisha Niko stressed sana, jobless mpaka naona mtaani nadhalilika mbele ya ndugu jamaa na marafiki. Najitahidi ku fight back ila sio rahisi. Muwe na mchana mwema.
Tuna maombi ya kuingia kwenye Mpango wa Kilimo wa Vijana huko Wizara ya Kilimo au kwenye Mpango wa kunenepesha mifugo Wizara ya mifugo.
 
Back
Top Bottom