matunduizi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 7,968
- 19,368
Kwa elimu hii kuwa kwenye nyayo Kuna swichi za kutibu kila ugonjwa.
Kuna jamaa alinipa hizi story nikamkatalia. Ila naona kama wanazidi kushamiri kufundisha tiba ya mikono na miguu.
Kuna ukweli wowote katika hili?