matunduizi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 7,968
- 19,368
Long time morogoro alikuwepo farther mmja wa kanisa Catholic anaitwa fr wenger(mzungu) alikuwa anatembeaKumbe ndio maana Mrisho Mpoto huwa anatembea peku
Wanasema pia ukitembea peku wadudu toka ardhini wakingia mwilini kwako wanasaidia kutengeneza kingaKumbe ndio maana Mrisho Mpoto huwa anatembea peku
Hivi ni huyu Ricardo wa radio ukweli au huyo ni mwingine?Wanasema pia ukitembea peku wadudu toka ardhini wakingia mwilini kwako wanasaidia kutengeneza kinga
Mwilini....
Ova
Has hahaaaaaKumbe ndio maana Mrisho Mpoto huwa anatembea peku
Siyo ndiyo yule alojizolea umaarufu wanamwita mapekupeku nae ni mzungu hukohuko moro maeneo ya mji mwema?Long time morogoro alikuwepo farther mmja wa kanisa Catholic anaitwa fr wenger(mzungu) alikuwa anatembea
Peku....
Ova
Mkuu hapa umetisha! Mi nafahamu wale funza ambao wakiingia miguuni wanashambulia vidole na visigino hadi miguu inapindaWanasema pia ukitembea peku wadudu toka ardhini wakingia mwilini kwako wanasaidia kutengeneza kinga
Mwilini....
Ova