Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
Ulitakaje Wewe ?Nimeshtuka..!
Huyu si kariba na makamo ya Dr mwigulu na Majaliwa kabisa wajameni?
Sasa wachezaji wenyewe ndiyo kama Hawa mtu unashindwaje kufunga hata kumi kwa bila wakuu?
Kwa kuwa simba mbovu na Hawa wastaafu waliokuja kutalii ndiyo mahututi basi ikaonekana wamecheza sana?
Nimeumia sana kwa kweli CAF wanaruhusu vipi team yenye wachezaji kama hawa?
Its not fair kucheza na wazee.View attachment 2923562
Huyu mwenye huo ukurasa ni mboga ya pale Salamander Tower πππNimeshtuka..!
Huyu si kariba na makamo ya Dr mwigulu na Majaliwa kabisa wajameni?
Sasa wachezaji wenyewe ndiyo kama Hawa mtu unashindwaje kufunga hata kumi kwa bila wakuu?
Kwa kuwa simba mbovu na Hawa wastaafu waliokuja kutalii ndiyo mahututi basi ikaonekana wamecheza sana?
Nimeumia sana kwa kweli CAF wanaruhusu vipi team yenye wachezaji kama hawa?
Its not fair kucheza na wazee.View attachment 2923562
Chagua wimbo gani Bestie πππBado hamjasemaaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Bado hamjasemaaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]