Wakuu hivi kuna msanii anemzidi kipaji Rod Wave

Wakuu hivi kuna msanii anemzidi kipaji Rod Wave

Juice world

JF-Expert Member
Joined
Jun 7, 2022
Posts
1,982
Reaction score
2,706
1000119045.jpg

Katika wasanii ambao nikisikiliza ngoma zao nazielewa namba Moja duniani ni rod wave nataka nijue Kuna msanii anaemzidi kipaji huyu jamaa duniani Sasa hivi nazungumzia kipaji a.k.a mziki mzuri sio umaarufu.
 
Kwa upande wangu huyu jamaa ndio msanii wangu Bora duniani nikaja kuuliza na kwenu hivi Kuna msanii anaemzidi huyu rod wave kipaji naongelea kipaji Cha mziki sio kupiga kelele naombeni mniambie wadau wa mziki mzuri maana Kila nikisikiliza ngoma za huyu jamaa na za wasanii wengine naona kama atendewi haki kwenye dunia ya mziki aisee
 
View attachment 3077954
Katika wasanii ambao nikisikiliza ngoma zao nazielewa namba Moja duniani ni rod wave nataka nijue Kuna msanii anaemzidi kipaji huyu jamaa duniani Sasa hivi nazungumzia kipaji a.k.a mziki mzuri sio umaarufu.
Oi oi niaje?
Mi kama mdau wa muziki japo tuseme huu muziki wa kizazi cha wasanii kuanzia 2015+ siwafatilii sana labda mtu afanye Ngoma kali sana...
Especially Mtoni ndo siwajui kabisa wasanii wapya at least Nigeria nawapata machalii wanaokichafua sana mfano kina Rema, Ruger, Burna boy, japo mi namkubali zaidi Omaha Ley.....

Sasa nikirudi kwenye swali lako huyo Rod wave sijajua nini kimekufanya Hadi useme ndo "msanii wako Bora" wa muda wote "duniani" kwakweli siwezi kupinga maoni ya mtu maana ni mtazamo wako.

Lakini to be honest huyo chalii tukimlinganisha na wasanii wakali wa level ya Dunia simuoni hata akiingia top 10,000 bado sana.... Maybe Kwa kizazi hiki cha Leo maana music ushagajifia....

Tafuta muda uwafatilie wasanii wa 90's pale USA ndo itanielewa kuna Ngoma zilikua zinapigwa unapata feeling Hadi unalia... Sikutanii
Tafuta Ngoma ya NEYO inaitwa So Sick... Au Cassidy Get no better... Hata R Kelly mfalme R&b "storm is over"
 
Rodwave ni msanii anayeimba nyimbo za kupambana na maisha mostly ila hata Joyner lucas nae yuko vzuri sana japo ujumbe wake mda mwingine unakua mkali.
 
Oi oi niaje?
Mi kama mdau wa muziki japo tuseme huu muziki wa kizazi cha wasanii kuanzia 2015+ siwafatilii sana labda mtu afanye Ngoma kali sana...
Especially Mtoni ndo siwajui kabisa wasanii wapya at least Nigeria nawapata machalii wanaokichafua sana mfano kina Rema, Ruger, Burna boy, japo mi namkubali zaidi Omaha Ley.....

Sasa nikirudi kwenye swali lako huyo Rod wave sijajua nini kimekufanya Hadi useme ndo "msanii wako Bora" wa muda wote "duniani" kwakweli siwezi kupinga maoni ya mtu maana ni mtazamo wako.

Lakini to be honest huyo chalii tukimlinganisha na wasanii wakali wa level ya Dunia simuoni hata akiingia top 10,000 bado sana.... Maybe Kwa kizazi hiki cha Leo maana music ushagajifia....

Tafuta muda uwafatilie wasanii wa 90's pale USA ndo itanielewa kuna Ngoma zilikua zinapigwa unapata feeling Hadi unalia... Sikutanii
Tafuta Ngoma ya NEYO inaitwa So Sick... Au Cassidy Get no better... Hata R Kelly mfalme R&b "storm is over"
Wewe mziki huujui au umezeeka kati ya hayo mawili ngoma ulizonitajia nikiringanisha na za huyu dogo hata nusu hazifiki hivi mtaacha lini habari za kusifia vitu vya zamani kwahiyo Sasa hivi vipaji havizaliwi si ndio mungu kasitisha kuleta vipaji duniani yaani wazee bhana mnatabu
 
Rodwave ni msanii anayeimba nyimbo za kupambana na maisha mostly ila hata Joyner lucas nae yuko vzuri sana japo ujumbe wake mda mwingine unakua mkali.
Huyo tatizo anapiga sana kelele aisee
 
Wewe mziki huujui au umezeeka kati ya hayo mawili ngoma ulizonitajia nikiringanisha na za huyu dogo hata nusu hazifiki hivi mtaacha lini habari za kusifia vitu vya zamani kwahiyo Sasa hivi vipaji havizaliwi si ndio mungu kasitisha kuleta vipaji duniani yaani wazee bhana mnatabu
Huyu msanii wako Hana hata hit song moja ndo useme n msanii Bora duniani ???
 
View attachment 3077954
Katika wasanii ambao nikisikiliza ngoma zao nazielewa namba Moja duniani ni rod wave nataka nijue Kuna msanii anaemzidi kipaji huyu jamaa duniani Sasa hivi nazungumzia kipaji a.k.a mziki mzuri sio umaarufu.
Msanii unayemzugumzia anatumia melod moja tu ya wimbo wa R.Kelly " I Wish". Nafikiri hata yeye anatamani kuimba mziki alioimba R.Kelly lakini ni ngumu kufika hiyo level maana ni gift from above .
 
Msikilize kwanza Kendrick Lamar mshkaji ni msaniii Bora wa mda wote alafu ndo uje ufananishe na huyo dogo Wave
 
Back
Top Bottom