uhurumoja
JF-Expert Member
- Mar 2, 2014
- 9,616
- 22,521
- Thread starter
- #21
Ok basi sijaona tangazo Wala taarifa mahali popote iwe itv tbc au channel ten Karim Boimanda ajitahidi kutoa taarifaLeo ligi ya NBC inaendelea kwa mechi kadhaa kuchezwa. Ni timu za Yanga na simba tu ndiyo hazitahusika kwa sababu zinasafiri/zimesafiri kwa ajili ya mechi zao za marudio.