Ok basi sijaona tangazo Wala taarifa mahali popote iwe itv tbc au channel ten Karim Boimanda ajitahidi kutoa taarifaLeo ligi ya NBC inaendelea kwa mechi kadhaa kuchezwa. Ni timu za Yanga na simba tu ndiyo hazitahusika kwa sababu zinasafiri/zimesafiri kwa ajili ya mechi zao za marudio.
Hakuna game za nbc plemier league leo mkuu,zilizopo ni za kombe la shilikisho la azam Namungo vs kagera sugarOk basi sijaona tangazo Wala taarifa mahali popote iwe itv tbc au channel ten Karim Boimanda ajitahidi kutoa taarifa
Binadamu hatuna jema, viporo vikiwa vingi Malalamiko, haya wejaribu kuwafurahisha ligi michezo iwe sawa bado mnalialia. Mwakani TFF waachie ligi itembee na watu wasilie viporo.Wakati league zingine zikipamba moto duniani kule Ujerumani wakijiandaa kuandika historia baada ya kijana aliyeishi viunga vya bayern Munich na kuiba mbinu zao akiwapa Bayer Leverkusen kombe gumu kabisa la bundesliga na pale Uingereza Klop anataka aondoke kwa heshima mambo ni tofauti hapa kwenye league ya karia na kasonzo wazee wa "unajuwa"league ni kama haipo tena IMELALA IMEKWAMA na hakuna mechi Wala tetesi za mechi hii league vipi!?
Usipende kubwabwaja bila ya data, haya nipeechi zilizochezwa leo za NBC PLLeo ligi ya NBC inaendelea kwa mechi kadhaa kuchezwa. Ni timu za Yanga na simba tu ndiyo hazitahusika kwa sababu zinasafiri/zimesafiri kwa ajili ya mechi zao za marudio.
Tunawasubiri ma last born watolewe kimataifaWakati league zingine zikipamba moto duniani kule Ujerumani wakijiandaa kuandika historia baada ya kijana aliyeishi viunga vya bayern Munich na kuiba mbinu zao akiwapa Bayer Leverkusen kombe gumu kabisa la bundesliga na pale Uingereza Klop anataka aondoke kwa heshima mambo ni tofauti hapa kwenye league ya karia na kasonzo wazee wa "unajuwa"league ni kama haipo tena IMELALA IMEKWAMA na hakuna mechi Wala tetesi za mechi hii league vipi!?
Mazoezi na mechi ni vitu viwili tofauti kabisa hata ucheze mazoezi mwaka mzima bila mechi timu haiwezi kuwa fitbilashaka technical benches wa team zote za ligi, wako na walikua chonjo sana na hilo.
na hata hivyo mapumziko haya ya pasaka ni ya ligi tu na sio mazoezi na ratiba za team shiriki [emoji205]
Hii emoji umeweka mwisho ni ya maana gani?!๐bilashaka technical benches wa team zote za ligi, wako na walikua chonjo sana na hilo.
na hata hivyo mapumziko haya ya pasaka ni ya ligi tu na sio mazoezi na ratiba za team shiriki ๐
ishia kusoma kwenye maoni na mtazamo wangu, sina maoni zaidi ya hapo๐Hii emoji umeweka mwisho ni ya maana gani?!๐
Inawezekana hii ligi huwa Ina mambo mengi zaidi ya mpira uwanjaniIfutwe tu bingwa kashajulikana msimamo ubaki kama ulivyo