Wakuu hivi mnawezaje kuishi na watu ambao hawajanyooka kwenye baadhi ya mambo

Wakuu hivi mnawezaje kuishi na watu ambao hawajanyooka kwenye baadhi ya mambo

Satirical Yet Awesome

JF-Expert Member
Joined
Oct 11, 2023
Posts
629
Reaction score
1,688
Kwa ufupi mimi ni mtu ambaye nimenyooka, naheshimu sana watu, naheshimu muda wa watu, naheshimu mali za watu, naheshimu utu wa mtu, naheshimu uaminifu wa mtu kwangu.

Na hii tabia nimerithi kwa baba angu, ambaye wakati nakua nilikiwa namwona anavyo interact na watu na nikaiga baadhi ya tabia zake.

So hii hali inanifanya nigombane na watu wengi, hasa jinsia ya kiume.

Unakuta mtu mnakubaliana siku flani mtaenda sehemu X kufanya jambo X, but ukimpigia simu hio siku eti anakwambia "aaah mwanang ndio unanikumbusha hapa nilikuwa nishasahau" hii kitu huwaga inanikera sana.

Kwenye madeni ndo usiseme, mimi huwaga nashangaa watu, mbona mimi nikikopa narudisha before deadline, yaan kabla hata muda tuliokubaliana nahakikisha hela yako inarudi, but some people aisee yaan mtakumbushana hadi mtagombana.

Hii hali ya watu kukosa uaminifu imenifanya niache kukopesha watu, mtu asaiv akiniomba hela kama ninayo ntampa tu kwa moyo mmoja, kama sina ntakuambia tu sina, mambo ya kupopeshana staki asaiv nishapoteza marafiki wengi kisa kukosa uaminifu.

Another scenario unakuta mtu umeongea nae mmekubaliana kabisa kuhusu bidhaa flani na bei yake, alaf ukienda kufanya purchase anaanza kuleta uswahili ooh sijui "huu mzigo asaiv bei zimechangamka hautoki hadi uongeze bei", au "sorry bro nilikuwa sijacheki store kumbe ule mzigo uliisha", huu ni uswahili.

Hivi mnaishije na waswahili?

Nipeni ushauri kwa hili maana bila hivo ntaendelea kugombana na watu kila siku.
 
Kwa ufupi mimi ni mtu ambaye nimenyooka, naheshimu sana watu, naheshimu muda wa watu, naheshimu mali za watu, naheshimu utu wa mtu, naheshimu uaminifu wa mtu kwangu.
Na hii tabia nimerithi kwa baba angu, ambaye wakati nakua nilikiwa namwona anavyo interact na watu na nikaiga baadhi ya tabia zake.

So hii hali inanifanya nigombane na watu wengi, hasa jinsia ya kiume.

Unakuta mtu mnakubaliana siku flani mtaenda sehemu X kufanya jambo X, but ukimpigia simu hio siku eti anakwambia "aaah mwanang ndio unanikumbusha hapa nilikuwa nishasahau" hii kitu huwaga inanikera sana.

Kweny madeni ndo usiseme, mimi huwaga nashangaa watu, mbona mimi nikikopa narudisha before deadline, yaan kabla hata muda tuliokubaliana nahakikisha hela yako inarudi, but some people aisee yaan mtakumbushana hadi mtagombana.
Hii hali ya watu kukosa uaminifu imenifanya niache kukopesha watu, mtu asaiv akiniomba hela kama ninayo ntampa tu kwa moyo mmoja, kama sina ntakuambia tu sina, mambo ya kupopeshana staki asaiv nishapoteza marafiki wengi kisa kukosa uaminifu.

Another scenario unakuta mtu umeongea nae mmekubaliana kabisa kuhusu bidhaa flani na bei yake, alaf ukienda kufanya purchase anaanza kuleta uswahili ooh sijui "huu mzigo asaiv bei zimechangamka hautoki hadi uongeze bei", au "sorry bro nilikuwa sijacheki store kumbe ule mzigo uliisha", huu ni uswahili.

Hivi mnaishije na waswahili?
Nipeni ushauri kwa hili maana bila hivo ntaendelea kugombana na watu kila siku.
Wewe utakua sio mtanzania, au mtanzania alio somea nje ya nchi na kuishi, watanzania asilimia 99.9% ni watu wagumu kuishi nao kufanya biashara nao kua na urafiki nao.
 
Nina Rafiki yangu yupo smart kichwani lakini mambo yake hayajanyooka.
Mnaweza panga muondoke sehemu saa 10, lakini yeye atajichelewesha tuu Kwa kuongea na watu vitu visivyo na sababu.

Mnaweza mkawa mnatembea mnawahi sehemu akakutana na mtu , akamsalimia zaidi ya dk 10.

Yeye kujichelewesha sio shida. Au mmepanga mkutane sehemu mfanye kazi, anaweza akapigiwa simu anaongea DK 10 anapiga tuu story mpaka umstue.

Kubadilisha ratiba ni sekundee moja na anaona sawa Tu! Unaweza ukatamani kulia aisee...

Ila yupo vizuri, she's smart! akitoa mawazo huwa productive.
 
Nina Rafiki yangu yupo smart kichwani lakini mambo yake hayajanyooka.
Mnaweza panga muondoke sehemu saa 10, lakini yeye atajichelewesha tuu Kwa kuongea na watu vitu visivyo na sababu.

Mnaweza mkawa mnatembea mnawahi sehemu akakutana na mtu , akamsalimia zaidi ya dk 10.

Yeye kujichelewesha sio shida. Au mmepanga mkutane sehemu mfanye kazi, anaweza akapigiwa simu anaongea DK 10 anapiga tuu story mpaka umstue.

Kubadilisha ratiba ni sekundee moja na anaona sawa Tu! Unaweza ukatamani kulia aisee...

Ila yupo vizuri, she's smart! akitoa mawazo huwa productive.
Kumbe ni she, huyu ni hatari sanaa.
 
Kwa ufupi mimi ni mtu ambaye nimenyooka, naheshimu sana watu, naheshimu muda wa watu, naheshimu mali za watu, naheshimu utu wa mtu, naheshimu uaminifu wa mtu kwangu.

Na hii tabia nimerithi kwa baba angu, ambaye wakati nakua nilikiwa namwona anavyo interact na watu na nikaiga baadhi ya tabia zake.

So hii hali inanifanya nigombane na watu wengi, hasa jinsia ya kiume.

Unakuta mtu mnakubaliana siku flani mtaenda sehemu X kufanya jambo X, but ukimpigia simu hio siku eti anakwambia "aaah mwanang ndio unanikumbusha hapa nilikuwa nishasahau" hii kitu huwaga inanikera sana.

Kwenye madeni ndo usiseme, mimi huwaga nashangaa watu, mbona mimi nikikopa narudisha before deadline, yaan kabla hata muda tuliokubaliana nahakikisha hela yako inarudi, but some people aisee yaan mtakumbushana hadi mtagombana.

Hii hali ya watu kukosa uaminifu imenifanya niache kukopesha watu, mtu asaiv akiniomba hela kama ninayo ntampa tu kwa moyo mmoja, kama sina ntakuambia tu sina, mambo ya kupopeshana staki asaiv nishapoteza marafiki wengi kisa kukosa uaminifu.

Another scenario unakuta mtu umeongea nae mmekubaliana kabisa kuhusu bidhaa flani na bei yake, alaf ukienda kufanya purchase anaanza kuleta uswahili ooh sijui "huu mzigo asaiv bei zimechangamka hautoki hadi uongeze bei", au "sorry bro nilikuwa sijacheki store kumbe ule mzigo uliisha", huu ni uswahili.

Hivi mnaishije na waswahili?

Nipeni ushauri kwa hili maana bila hivo ntaendelea kugombana na watu kila siku.
Watu kama wewe mko wachache mno
 
Wewe utakua sio mtanzania, au mtanzania alio somea nje ya nchi na kuishi, watanzania asilimia 99.9% ni watu wagumu kuishi nao kufanya biashara nao kua na urafiki nao.
Point taken. Uaminifu ni mdogo sana kwa jamii yetu hii. Kuna watu wangu wawil walikufa kifo cha kutatanisha baada ya kwenda kudai madeni yao.
 
Mtanzania mie nipo hivi. Nakupimia dose kutokana na uwezo wako.
Nikikutana na smart mi utaniona smarter.
Nikikuona mzinguaji, hutaniona nina akili hata kidogo mpaka utajiuliza nawezaje kusurvive lwenye hii dunia. Nakupa kile unachohitaji kutokana na jinsi ulivyo.

Ukikusanya makundi matatu ninayointeract nao. Hautopata tabia yangu inayofanana kwa wote. Lazima upate story tofautitofauti. Hao ndio watanzania.
 
Mtanzania mie nipo hivi. Nakupimia dose kutokana na uwezo wako.
Nikikutana na smart mi utaniona smarter.
Nikikuona mzinguaji, hutaniona nina akili hata kidogo mpaka utajiuliza nawezaje kusurvive lwenye hii dunia. Nakupa kile unachohitaji kutokana na jinsi ulivyo.

Ukikusanya makundi matatu ninayointeract nao. Hautopata tabia yangu inayofanana kwa wote. Lazima upate story tofautitofauti. Hao ndio watanzania.
Hio sio jinsi ya kuishi watu.

It looks like you don't have any standards or values
 
Kwa ufupi mimi ni mtu ambaye nimenyooka, naheshimu sana watu, naheshimu muda wa watu, naheshimu mali za watu, naheshimu utu wa mtu, naheshimu uaminifu wa mtu kwangu.

Na hii tabia nimerithi kwa baba angu, ambaye wakati nakua nilikiwa namwona anavyo interact na watu na nikaiga baadhi ya tabia zake.

So hii hali inanifanya nigombane na watu wengi, hasa jinsia ya kiume.

Unakuta mtu mnakubaliana siku flani mtaenda sehemu X kufanya jambo X, but ukimpigia simu hio siku eti anakwambia "aaah mwanang ndio unanikumbusha hapa nilikuwa nishasahau" hii kitu huwaga inanikera sana.

Kwenye madeni ndo usiseme, mimi huwaga nashangaa watu, mbona mimi nikikopa narudisha before deadline, yaan kabla hata muda tuliokubaliana nahakikisha hela yako inarudi, but some people aisee yaan mtakumbushana hadi mtagombana.

Hii hali ya watu kukosa uaminifu imenifanya niache kukopesha watu, mtu asaiv akiniomba hela kama ninayo ntampa tu kwa moyo mmoja, kama sina ntakuambia tu sina, mambo ya kupopeshana staki asaiv nishapoteza marafiki wengi kisa kukosa uaminifu.

Another scenario unakuta mtu umeongea nae mmekubaliana kabisa kuhusu bidhaa flani na bei yake, alaf ukienda kufanya purchase anaanza kuleta uswahili ooh sijui "huu mzigo asaiv bei zimechangamka hautoki hadi uongeze bei", au "sorry bro nilikuwa sijacheki store kumbe ule mzigo uliisha", huu ni uswahili.

Hivi mnaishije na waswahili?

Nipeni ushauri kwa hili maana bila hivo ntaendelea kugombana na watu kila siku.
Kubali kuwa watu hamfanani. Wewe mwenyewe kuna mambo hujanyooka.
 
Back
Top Bottom