Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
6.Suburi kuna pesa nafuatilia1. "Simu ilikuwa chaji"
2. "Samahani msg sikuiona"
3. "Kuna msg umenitumia?"
4. "Sikusikia, simu ilikuwa silent"
5. "Tufanye kesho"
6. "Tufanye tu Jumatatu leo tumeshachelewa"
7. "Mtandao unasumbua"
Una damu ya kizungu ,kiufupi uko kama mimi ,Imekuwa bahati mbaya na mkosi Tumezaliwa shithole countries zenye watu wenye ubongo wenye funza na mavi ya popo +vumbiKwa ufupi mimi ni mtu ambaye nimenyooka, naheshimu sana watu, naheshimu muda wa watu, naheshimu mali za watu, naheshimu utu wa mtu, naheshimu uaminifu wa mtu kwangu.
Na hii tabia nimerithi kwa baba angu, ambaye wakati nakua nilikiwa namwona anavyo interact na watu na nikaiga baadhi ya tabia zake.
So hii hali inanifanya nigombane na watu wengi, hasa jinsia ya kiume.
Unakuta mtu mnakubaliana siku flani mtaenda sehemu X kufanya jambo X, but ukimpigia simu hio siku eti anakwambia "aaah mwanang ndio unanikumbusha hapa nilikuwa nishasahau" hii kitu huwaga inanikera sana.
Kwenye madeni ndo usiseme, mimi huwaga nashangaa watu, mbona mimi nikikopa narudisha before deadline, yaan kabla hata muda tuliokubaliana nahakikisha hela yako inarudi, but some people aisee yaan mtakumbushana hadi mtagombana.
Hii hali ya watu kukosa uaminifu imenifanya niache kukopesha watu, mtu asaiv akiniomba hela kama ninayo ntampa tu kwa moyo mmoja, kama sina ntakuambia tu sina, mambo ya kupopeshana staki asaiv nishapoteza marafiki wengi kisa kukosa uaminifu.
Another scenario unakuta mtu umeongea nae mmekubaliana kabisa kuhusu bidhaa flani na bei yake, alaf ukienda kufanya purchase anaanza kuleta uswahili ooh sijui "huu mzigo asaiv bei zimechangamka hautoki hadi uongeze bei", au "sorry bro nilikuwa sijacheki store kumbe ule mzigo uliisha", huu ni uswahili.
Hivi mnaishije na waswahili?
Nipeni ushauri kwa hili maana bila hivo ntaendelea kugombana na watu kila siku.
Mtoa mada hujapishana na mimi kabisa,nishagombana na watu wengi sababu ya ubabaishaji kazi ninayofanya inahusisha kuchukua pesa za mabosi na boss ukishachukua pesa yake anataka aone matokea sio brabra tena kuepusha hayo nafanya kazi na watu wazima kidogo alie na familia kidgo angalauKwa ufupi mimi ni mtu ambaye nimenyooka, naheshimu sana watu, naheshimu muda wa watu, naheshimu mali za watu, naheshimu utu wa mtu, naheshimu uaminifu wa mtu kwangu.
Na hii tabia nimerithi kwa baba angu, ambaye wakati nakua nilikiwa namwona anavyo interact na watu na nikaiga baadhi ya tabia zake.
So hii hali inanifanya nigombane na watu wengi, hasa jinsia ya kiume.
Unakuta mtu mnakubaliana siku flani mtaenda sehemu X kufanya jambo X, but ukimpigia simu hio siku eti anakwambia "aaah mwanang ndio unanikumbusha hapa nilikuwa nishasahau" hii kitu huwaga inanikera sana.
Kwenye madeni ndo usiseme, mimi huwaga nashangaa watu, mbona mimi nikikopa narudisha before deadline, yaan kabla hata muda tuliokubaliana nahakikisha hela yako inarudi, but some people aisee yaan mtakumbushana hadi mtagombana.
Hii hali ya watu kukosa uaminifu imenifanya niache kukopesha watu, mtu asaiv akiniomba hela kama ninayo ntampa tu kwa moyo mmoja, kama sina ntakuambia tu sina, mambo ya kupopeshana staki asaiv nishapoteza marafiki wengi kisa kukosa uaminifu.
Another scenario unakuta mtu umeongea nae mmekubaliana kabisa kuhusu bidhaa flani na bei yake, alaf ukienda kufanya purchase anaanza kuleta uswahili ooh sijui "huu mzigo asaiv bei zimechangamka hautoki hadi uongeze bei", au "sorry bro nilikuwa sijacheki store kumbe ule mzigo uliisha", huu ni uswahili.
Hivi mnaishije na waswahili?
Nipeni ushauri kwa hili maana bila hivo ntaendelea kugombana na watu kila siku.
Inaonekana una ka wivu flani na huyo she....Nina Rafiki yangu yupo smart kichwani lakini mambo yake hayajanyooka.
Mnaweza panga muondoke sehemu saa 10, lakini yeye atajichelewesha tuu Kwa kuongea na watu vitu visivyo na sababu.
Mnaweza mkawa mnatembea mnawahi sehemu akakutana na mtu , akamsalimia zaidi ya dk 10.
Yeye kujichelewesha sio shida. Au mmepanga mkutane sehemu mfanye kazi, anaweza akapigiwa simu anaongea DK 10 anapiga tuu story mpaka umstue.
Kubadilisha ratiba ni sekundee moja na anaona sawa Tu! Unaweza ukatamani kulia aisee...
Ila yupo vizuri, she's smart! akitoa mawazo huwa productive.
Hapana she is my bestie na namkubalii Sana...na tukiwa teams lazima project itoboe..!Inaonekana una ka wivu flani na huyo she....
Kwa hiyo tu kusema wewe umenyooka, sasa ujue hujanyooka. Mambo ni kuambiana tu ukweli na kuvumiliana.Kwa ufupi mimi ni mtu ambaye nimenyooka, naheshimu sana watu, naheshimu muda wa watu, naheshimu mali za watu, naheshimu utu wa mtu, naheshimu uaminifu wa mtu kwangu.
Na hii tabia nimerithi kwa baba angu, ambaye wakati nakua nilikiwa namwona anavyo interact na watu na nikaiga baadhi ya tabia zake.
So hii hali inanifanya nigombane na watu wengi, hasa jinsia ya kiume.
Unakuta mtu mnakubaliana siku flani mtaenda sehemu X kufanya jambo X, but ukimpigia simu hio siku eti anakwambia "aaah mwanang ndio unanikumbusha hapa nilikuwa nishasahau" hii kitu huwaga inanikera sana.
Kwenye madeni ndo usiseme, mimi huwaga nashangaa watu, mbona mimi nikikopa narudisha before deadline, yaan kabla hata muda tuliokubaliana nahakikisha hela yako inarudi, but some people aisee yaan mtakumbushana hadi mtagombana.
Hii hali ya watu kukosa uaminifu imenifanya niache kukopesha watu, mtu asaiv akiniomba hela kama ninayo ntampa tu kwa moyo mmoja, kama sina ntakuambia tu sina, mambo ya kupopeshana staki asaiv nishapoteza marafiki wengi kisa kukosa uaminifu.
Another scenario unakuta mtu umeongea nae mmekubaliana kabisa kuhusu bidhaa flani na bei yake, alaf ukienda kufanya purchase anaanza kuleta uswahili ooh sijui "huu mzigo asaiv bei zimechangamka hautoki hadi uongeze bei", au "sorry bro nilikuwa sijacheki store kumbe ule mzigo uliisha", huu ni uswahili.
Hivi mnaishije na waswahili?
Nipeni ushauri kwa hili maana bila hivo ntaendelea kugombana na watu kila siku.
pole sana ...bado hujayajua maisha...Kwa ufupi mimi ni mtu ambaye nimenyooka, naheshimu sana watu, naheshimu muda wa watu, naheshimu mali za watu, naheshimu utu wa mtu, naheshimu uaminifu wa mtu kwangu.
Na hii tabia nimerithi kwa baba angu, ambaye wakati nakua nilikiwa namwona anavyo interact na watu na nikaiga baadhi ya tabia zake.
So hii hali inanifanya nigombane na watu wengi, hasa jinsia ya kiume.
Unakuta mtu mnakubaliana siku flani mtaenda sehemu X kufanya jambo X, but ukimpigia simu hio siku eti anakwambia "aaah mwanang ndio unanikumbusha hapa nilikuwa nishasahau" hii kitu huwaga inanikera sana.
Kwenye madeni ndo usiseme, mimi huwaga nashangaa watu, mbona mimi nikikopa narudisha before deadline, yaan kabla hata muda tuliokubaliana nahakikisha hela yako inarudi, but some people aisee yaan mtakumbushana hadi mtagombana.
Hii hali ya watu kukosa uaminifu imenifanya niache kukopesha watu, mtu asaiv akiniomba hela kama ninayo ntampa tu kwa moyo mmoja, kama sina ntakuambia tu sina, mambo ya kupopeshana staki asaiv nishapoteza marafiki wengi kisa kukosa uaminifu.
Another scenario unakuta mtu umeongea nae mmekubaliana kabisa kuhusu bidhaa flani na bei yake, alaf ukienda kufanya purchase anaanza kuleta uswahili ooh sijui "huu mzigo asaiv bei zimechangamka hautoki hadi uongeze bei", au "sorry bro nilikuwa sijacheki store kumbe ule mzigo uliisha", huu ni uswahili.
Hivi mnaishije na waswahili?
Nipeni ushauri kwa hili maana bila hivo ntaendelea kugombana na watu kila siku.
Upo sawa na mimi hapa aisee... kutimiza ahadi ni kitu chema sanaKwenye madeni ndo usiseme, mimi huwaga nashangaa watu, mbona mimi nikikopa narudisha before deadline, yaan kabla hata muda tuliokubaliana nahakikisha hela yako inarudi, but some people aisee yaan mtakumbushana hadi mtagombana.
Kujua kama hujanyooka ndo kunyooka kwenyewe!!!Kwa hiyo tu kusema wewe umenyooka, sasa ujue hujanyooka. Mambo ni kuambiana tu ukweli na kuvumiliana.
Sifa ya mtu aliyeenyooka sio Kwamba hakosei lah,ila uelewa wake hata pale unamwambia kuwa hapa hujanyooka,ni watu wa ambayo wapo so hard on emself kuliko Kwa wengine,na hiyo ni sifa mojawapo ya kundi la phlegmatic people.Kubali kuwa watu hamfanani. Wewe mwenyewe kuna mambo hujanyooka.
Kumbe ni she,ndo maana hajanyookaNina Rafiki yangu yupo smart kichwani lakini mambo yake hayajanyooka.
Mnaweza panga muondoke sehemu saa 10, lakini yeye atajichelewesha tuu Kwa kuongea na watu vitu visivyo na sababu.
Mnaweza mkawa mnatembea mnawahi sehemu akakutana na mtu , akamsalimia zaidi ya dk 10.
Yeye kujichelewesha sio shida. Au mmepanga mkutane sehemu mfanye kazi, anaweza akapigiwa simu anaongea DK 10 anapiga tuu story mpaka umstue.
Kubadilisha ratiba ni sekundee moja na anaona sawa Tu! Unaweza ukatamani kulia aisee...
Ila yupo vizuri, she's smart! akitoa mawazo huwa productive.
Usishangae sana tupo wengi wazee wa straight forward reverse gear mwiko😄😄😄😄😄Kwa ufupi mimi ni mtu ambaye nimenyooka, naheshimu sana watu, naheshimu muda wa watu, naheshimu mali za watu, naheshimu utu wa mtu, naheshimu uaminifu wa mtu kwangu.
Na hii tabia nimerithi kwa baba angu, ambaye wakati nakua nilikiwa namwona anavyo interact na watu na nikaiga baadhi ya tabia zake.
So hii hali inanifanya nigombane na watu wengi, hasa jinsia ya kiume.
Unakuta mtu mnakubaliana siku flani mtaenda sehemu X kufanya jambo X, but ukimpigia simu hio siku eti anakwambia "aaah mwanang ndio unanikumbusha hapa nilikuwa nishasahau" hii kitu huwaga inanikera sana.
Kwenye madeni ndo usiseme, mimi huwaga nashangaa watu, mbona mimi nikikopa narudisha before deadline, yaan kabla hata muda tuliokubaliana nahakikisha hela yako inarudi, but some people aisee yaan mtakumbushana hadi mtagombana.
Hii hali ya watu kukosa uaminifu imenifanya niache kukopesha watu, mtu asaiv akiniomba hela kama ninayo ntampa tu kwa moyo mmoja, kama sina ntakuambia tu sina, mambo ya kupopeshana staki asaiv nishapoteza marafiki wengi kisa kukosa uaminifu.
Another scenario unakuta mtu umeongea nae mmekubaliana kabisa kuhusu bidhaa flani na bei yake, alaf ukienda kufanya purchase anaanza kuleta uswahili ooh sijui "huu mzigo asaiv bei zimechangamka hautoki hadi uongeze bei", au "sorry bro nilikuwa sijacheki store kumbe ule mzigo uliisha", huu ni uswahili.
Hivi mnaishije na waswahili?
Nipeni ushauri kwa hili maana bila hivo ntaendelea kugombana na watu kila siku.
Sisi wenye hulka ya kunyoooka kama rula huwa ni watu smart sana, independent, introvets😄😄😄😄Nakushauri uanzishe group la WhatsApp ili watu wenye hulka ya kunyooka tujiunge? .... Tuko ujue? Au hata hapa JF, lipatijane jukwaa la watu walionyooka.... Mfano wa " Freemanson" 🤔
Tuappeal sisi ambao tupo straight forward tubadilishie bara la kukaa afrika haitufai,,,huku mijitu haijui kujiheshimu na kuheshimu wengine.Una damu ya kizungu ,kiufupi uko kama mimi ,Imekuwa bahati mbaya na mkosi Tumezaliwa shithole countries zenye watu wenye ubongo wenye funza na mavi ya popo +vumbi