ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Aisee mambo ya Gen Z wa Kenya yamenikumbusha mbali.
Mwanzo wa mwaka tuliona kina CHADEMA eti wanaandamana kila Jiji baadae maandamano yakayeyuka ghafla🤪🤪🤪🤪
Nini kilitokea maana walikuwa wanapewa ulinzi kabisa wakidai maisha magumu. Je, saizi maisha ni rahisi?
Swali: Maandamano ya CHADEMA yaliishiaga wapi?
My Take: Samia ni Profesa wa siasa yaani walitegenea kupata kiki kwa Polisi kuwazuia ila walivyoachwa wakapoteana 🤣🤣
=====
Pia soma:
Mwanzo wa mwaka tuliona kina CHADEMA eti wanaandamana kila Jiji baadae maandamano yakayeyuka ghafla🤪🤪🤪🤪
Nini kilitokea maana walikuwa wanapewa ulinzi kabisa wakidai maisha magumu. Je, saizi maisha ni rahisi?
Swali: Maandamano ya CHADEMA yaliishiaga wapi?
My Take: Samia ni Profesa wa siasa yaani walitegenea kupata kiki kwa Polisi kuwazuia ila walivyoachwa wakapoteana 🤣🤣
=====
Pia soma:
- Mbowe hebu tupe jibu, lini ulifanya maandamano ya CHADEMA Moshi mjini?
- Kilimanjaro: Yanayojiri kwenye Maandamano ya Amani yanayoongozwa na Freeman Mbowe
- Wakuu hivi yale Maandamano ya CHADEMA yaliishia wapi?
- Sasa ni dhahiri Maandamano ya CHADEMA yanafuatiliwa na kila Mtanzania
- Chadema kutoa ratiba mpya ya Maandamano ya Amani hivi karibuni
- Maandamano ya Kisiasa ni yale yasiyokuwa na Kikomo Haya ya Chadema ni Matembezi!
- Ni aibu kubwa sana kwa CHADEMA kufanya maandalizi ya maandamano Arusha wakati wananchi na mkoa upo kwenye majonzi na simanzi ya kupoteza wapendwa wao
- Kuelekea 2025 - Amos Makalla: Wakati mwingine kwenye maandamano msiende! Baada ya maandamano mnarudi nyumbani, imebadili nini? Wenyewe wanalipana posho
- Bajeti ya Maandamano Arusha kuijenga au kuipasua CHADEMA?
- Uchambuzi wa Kitaalam: Maandamano yanaibomoa CHADEMA kuliko kuijenga
- CHADEMA yatangaza maandamano majiji matatu
- Picha kali ya wiki hii hapa, Maandamano ya CHADEMA Kahama
- Kwanini Serikali ya Rais Samia imeruhusu maandamano ya CHADEMA?
- Maanadamano yasiyoifanya Katiba Mpya kuwa ni ajenda kuu ni maandamano ya wasaka vyeo
- Kuruhusu maandamano ya amani ya Chadema, je Rais Samia ameshawachoka wahafidhina wa CCM wasiotaka mabadiliko nchini?
- CCM kufanya maandamano Dar ili kuwafunika CHADEMA?
- KKKT Arusha wampongeza Rais Samia kwa kuruhusu Maandamano ya Amani ya Chadema jijini DSM, wameomba aendelee kusikiliza Sauti ya Mungu!
- Maandamano ni Haki ya Vyama vya Siasa, Serikali itoe kila ushirikiano kwa CHADEMA hata kama uelekeo ni Ikulu
- Maandamano ya vyama vya upinzani ndio mafanikio ya kipekee kabisa ya Awamu ya 6 ya Rais Samia
- Katibu Mkuu ADC: Tulipanga kufanya maandamano kuunga mkono miswada ipitishwe kuwa sheria lakini CHADEMA wakatuwahi
- Chadema Wameshatoa Maoni yao kuhusu Miswada ya Sheria za Uchaguzi, yatafanyiwa kazi. Sasa kwanini Wametangaza maandamano kabla hawajajibiwa?
- CUF: Subira itumike, maandamano yasitishwe hadi Bunge lipitishe miswada ya marekebisho ya Sheria za Uchaguzi na Tume ya Uchaguzi
- Dkt. Mhagama: Sheria za Uchaguzi zinazotungwa hazitazingatia maandamano yanayoendelea
- Askofu Mwamakula: Naona huu sio muda sahihi wa kuwahukumu wabunge kuhusu miswada ya sheria za uchaguzi
- John Shibuda: Niko njiani kuja kuunga mkono maandamano ya Chadema 24/1/2024
- Sheikh Ponda Issa Ponda aunga mkono Maandamano ya CHADEMA ya 24/01/2024
- Zikiwa zimesalia siku chache, Wadau wazidi kuunga Mkono Maandamano ya Amani
- RC Chalamila adai Wanajeshi hawajafanya Usafi kwasababu ya Maandamano ya CHADEMA
- Majeshi yote yanatarajia kufanya Usafi tarehe 23/24 January 2024 siku iliyopangwa kwa maandamano