Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Juzi Rutto kawafokea wakenya, kawaambia yeye chura kiziwi. Siku mbili baadaye kajisalimisha kwa wananchi."nyapara" ambae ni waziri wa kilimo Tanzania na juzi kamsambaratisha mpina kumi na nane kwa bila.
Kwa mkoa upi, kila mkoa kulikuwa na maelekezo maandamano yaanzie wapi na yaishie wapi, hata vibali vilivyotoka polisi vilieleza njia za kuanzia na kuishia maadamano.Aisee mambo ya Gen Z wa Kenya yamenikumbusha mbali.
Mwanzo wa mwaka tuliona kina CHADEMA eti wanaandamana kila Jiji baadae maandamano yakayeyuka ghafla🤪🤪🤪🤪
Nini kilitokea maana walikuwa wanapewa ulinzi kabisa wakidai maisha magumu. Je, saizi maisha ni rahisi?
Swali: Maandamano ya CHADEMA yaliishiaga wapi?
My Take: Samia ni Profesa wa siasa yaani walitegenea kupata kiki kwa Polisi kuwazuia ila walivyoachwa wakapoteana 🤣🤣
Ruto ni kibaraka na kikaragosi cha Magharibi na mazayuni, kaisaliti Afrika nzima.Juzi Rutto kawafokea wakenya, kawaambia yeye chura kiziwi. Siku mbili baadaye kajisalimisha kwa wananchi.
Ukiona tunahamisha magoli from kutegemea chakademus na kuanza kutukana GenZee ujue hakuna chakademus wala opposition hapaG Z ya Tanzania ni chawa
Chura kiziwi Rutto ulitaka awe kibaraka wa UAE? 😀 😀Ruto ni kibaraka na kikaragosi cha Magharibi na mazayuni, kaisaliti Afrika nzima.
Hulielewi hilo?
Yanayomkuta ni stahili yake, na huo ni mwanzo tu.
Sikuelewi. Naona unahororoja na kubwabwaja kama mtu aliyekunywa mbege. Kama umeamka nazo, kunywa maji mengi zikutoke kisha useme kwa ufasaha unachotaka kukisema.Chura kiziwi Rutto ulitaka awe kibaraka wa UAE? 😀 😀
Very poor thinking. Inasikitisha sana kuwa na raia wa namna kama yako.Anayepata hasara Kariakoo kwa sababu za mgomo ni Serikali au wenye maduka?
Serikali haiwezi kupata hasara sababu hii nchi ni kubwa sana na vyanzo vya mapato ni vingi sana. Serikali haitegemei kukusanya kodi Kariakoo peke yake.
Atakayeumia kwenye huo mgomo ni mfanyabiashara sababu mwisho wa mwezi atatakiwa kulipa pango na wafanyakazi. Tusubirie tuone.
Hata Gen Z maandamano Yao Yana Maelekezo 😆😆Kwa mkoa upi, kila mkoa kulikuwa na maelekezo maandamano yaanzie wapi na yaishie wapi, hata vibali vilivyotoka polisi vilieleza njia za kuanzia na kuishia maadamano.
HahahahahaUkiona tunahamisha magoli from kutegemea chakademus na kuanza kutukana GenZee ujue hakuna chakademus wala opposition hapa
At least genzee wana purpose
Aisee mambo ya Gen Z wa Kenya yamenikumbusha mbali.
Mwanzo wa mwaka tuliona kina CHADEMA eti wanaandamana kila Jiji baadae maandamano yakayeyuka ghafla🤪🤪🤪🤪
Nini kilitokea maana walikuwa wanapewa ulinzi kabisa wakidai maisha magumu. Je, saizi maisha ni rahisi?
Swali: Maandamano ya CHADEMA yaliishiaga wapi?
View: https://twitter.com/MwananchiNews/status/1806045559108874264?t=57K8CjS-fo8CBKAz4pta-A&s=19
My Take: Samia ni Profesa wa siasa yaani walitegenea kupata kiki kwa Polisi kuwazuia ila walivyoachwa wakapoteana 🤣🤣