Wakuu hivi yale Maandamano ya CHADEMA yaliishia wapi?

Wakuu hivi yale Maandamano ya CHADEMA yaliishia wapi?

Kwa hali hii watanzania tutaendelea kupigwa mpaka Yesu atakaporudi mara ya pili kutukomboa na dunia,ugumu wa maisha unamuhusu kila mtu,CHADEMA waliitisha maandamano kupinga ugumu wa maisha inaonekana maandamano ni ya CHADEMA ila ugumu wa maisha ni wa kila mtu.
 
Leo unakejeli, ila unachoona hapo Kariakoo ndio mfano wa kitachotokea Chadema wasipoandamana. Ubaya bado mnaamini Chadema ndio mpinzani, mnajidanganya.

Walimu wana maumivu, Wafanyakazi wana maumivu, Madokta wana maumivu, Wakulima wana maumivu, Polisi wana maumivu, Wanachuo wana maumivu NK

Wafanyabiashara wameanza kwa kuwaonyesha sample itavyokuwa kila mtu kwenye kada yake akiamua kutoa ya moyoni.
Brain yako inakuruhusu kukejeli ila kuna bomu mnalitengeneza wenyewe.
Kunywa maji Mkuu.
 
Aisee mambo ya Gen Z wa Kenya yamenikumbusha mbali.

Mwanzo wa mwaka tuliona kina CHADEMA eti wanaandamana kila Jiji baadae maandamano yakayeyuka ghafla🤪🤪🤪🤪

Nini kilitokea maana walikuwa wanapewa ulinzi kabisa wakidai maisha magumu. Je, saizi maisha ni rahisi?

Swali: Maandamano ya CHADEMA yaliishiaga wapi?

My Take: Samia ni Profesa wa siasa yaani walitegenea kupata kiki kwa Polisi kuwazuia ila walivyoachwa wakapoteana 🤣🤣
KWANI YALE YALIKUWA MAANDAMANO YALIKUWA MATEMBEZI YA HISANI TU YA KENYA HAWA WAHUNI HAWAYAWEZI NDIYO MAANA MANGE LEO KAWAMBI NINANUKUU WANACHADEMA NA MAANDAMANO YAO NI MACHOKO TU MWISHO WA KUNUKUU
 
Kuna kiongozi mwandamizi chadema anadai maandamano yalihujumiwa na na pesa chafu iliyomwagwa na mama ab...

..maandamano yakianza tena yanaweza kuwa na impact tofauti.

..hoja zilizokuwa zinalalamikiwa bado ziko palepale, ugumu wa maisha, na kodi zisizolipika, bado ni changamoto.

..pia kuna mafunzo kutoka kwa jirani zetu, na ujasiri wanauonyesha dhidi ya watawala wenye dharau kwa wananchi.
 
..maandamano yakianza tena yanaweza kuwa na impact tofauti.

..hoja zilizokuwa zinalalamikiwa bado ziko palepale, ugumu wa maisha, na kodi zisizolipika, bado ni changamoto.

..pia kuna mafunzo kutoka kwa jirani zetu, na ujasiri wanauonyesha dhidi ya watawala wenye dharau kwa wananchi.
Nchi zetu za ajabu sana. Rutto baada ya watu kuuawa ndiyo kapata akili kuachana na muswada huo wa fedha, mashinikizo ya IMF yamegharimu maisha ya zaidi ya watu 10.

Leo baada ya kununua umeme nimetafakari sana. Kila unit ya umeme unayonunua, unalipia kodi tatu tofauti. VAT, EWURA na REA. Kama wingi huo wa kodi hautoshi, majambazi haya yakaongeza kodi nyingine kwenye umeme huohuo sh 18,000 kwa mwaka.

Uchaguzi mkuu mwakani ccm wakae mkao wa kuaga.
 
Bashe nyapara tu, mwenye bbt alisaini mikataba Marekani Samia akiwa pembeni, sijui alikuwa shahidi au vipi!
"nyapara" ambae ni waziri wa kilimo Tanzania na juzi kamsambaratisha mpina kumi na nane kwa bila.
 
Kuna kiongozi mwandamizi chadema anadai maandamano yalihujumiwa na na pesa chafu iliyomwagwa na mama ab...
Uzuri n kwamba hy pesa hawapewi waandamanaji ila wanapewa viongozi wa maandamano ambao ni wa Chadema.
 
Aisee mambo ya Gen Z wa Kenya yamenikumbusha mbali.

Mwanzo wa mwaka tuliona kina CHADEMA eti wanaandamana kila Jiji baadae maandamano yakayeyuka ghafla🤪🤪🤪🤪

Nini kilitokea maana walikuwa wanapewa ulinzi kabisa wakidai maisha magumu. Je, saizi maisha ni rahisi?

Swali: Maandamano ya CHADEMA yaliishiaga wapi?

My Take: Samia ni Profesa wa siasa yaani walitegenea kupata kiki kwa Polisi kuwazuia ila walivyoachwa wakapoteana 🤣🤣
Majibu unayo ya kinachoendelea Sasa kwa wafanyibiashara kugoma na wengine wanataka kuhamia Zambia!!
Bado songs mbele Katiba mpya ni muhimu!

One hapo jirani Kenya GAY Z hadi wamesalimu amrita na Rais amelazimika hatasaini hilo dili!

Unapolea ujinga muda mrefu bomu litalipuka tuu siku ikifika.
Hali ni ngumu! Hawa wqfanyabiashara wameumizwa sana na tozo /Kodi na Rushwa kwa Hawa TRA.
Ndio maana ya yale maandamano Serikali hii sio sikivu iko siku.
Na vijana amkeni kwenye wiki ya kujiandikisha ili mwingie sanduku la kura sivyo Hawa mchwa ni hatari!!
 
Majibu unayo ya kinachoendelea Sasa kwa wafanyibiashara kugoma na wengine wanataka kuhamia Zambia!!
Bado songs mbele Katiba mpya ni muhimu!

One hapo jirani Kenya GAY Z hadi wamesalimu amrita na Rais amelazimika hatasaini hilo dili!

Unapolea ujinga muda mrefu bomu litalipuka tuu siku ikifika.
Hali ni ngumu! Hawa wqfanyabiashara wameumizwa sana na tozo /Kodi na Rushwa kwa Hawa TRA.
Ndio maana ya yale maandamano Serikali hii sio sikivu iko siku.
Na vijana amkeni kwenye wiki ya kujiandikisha ili mwingie sanduku la kura sivyo Hawa mchwa ni hatari!!
Kwani ni mara ya kwanza wafanyabiashara kufungua maduka? Mwaka Jana walifunga.

Mwisho njaa zitawarudisha kuuza kwani hao wachuuzi watapata wapi hela? 😂😂

By the way sehemu zingine za Dar na Nchi biashara zinaendelea
 
Aisee mambo ya Gen Z wa Kenya yamenikumbusha mbali.

Mwanzo wa mwaka tuliona kina CHADEMA eti wanaandamana kila Jiji baadae maandamano yakayeyuka ghafla🤪🤪🤪🤪

Nini kilitokea maana walikuwa wanapewa ulinzi kabisa wakidai maisha magumu. Je, saizi maisha ni rahisi?

Swali: Maandamano ya CHADEMA yaliishiaga wapi?

My Take: Samia ni Profesa wa siasa yaani walitegenea kupata kiki kwa Polisi kuwazuia ila walivyoachwa wakapoteana 🤣🤣
upinzani na chama tawala Tanzania wote ni majanga
 
Anayepata hasara Kariakoo kwa sababu za mgomo ni Serikali au wenye maduka?

Serikali haiwezi kupata hasara sababu hii nchi ni kubwa sana na vyanzo vya mapato ni vingi sana. Serikali haitegemei kukusanya kodi Kariakoo peke yake.

Atakayeumia kwenye huo mgomo ni mfanyabiashara sababu mwisho wa mwezi atatakiwa kulipa pango na wafanyakazi. Tusubirie tuone.
mfanya biashara ni mjanja; hakuna anayetegemea hayo maduka pekee
 
Aisee mambo ya Gen Z wa Kenya yamenikumbusha mbali.

Mwanzo wa mwaka tuliona kina CHADEMA eti wanaandamana kila Jiji baadae maandamano yakayeyuka ghafla🤪🤪🤪🤪

Nini kilitokea maana walikuwa wanapewa ulinzi kabisa wakidai maisha magumu. Je, saizi maisha ni rahisi?

Swali: Maandamano ya CHADEMA yaliishiaga wapi?

My Take: Samia ni Profesa wa siasa yaani walitegenea kupata kiki kwa Polisi kuwazuia ila walivyoachwa wakapoteana 🤣🤣
Binafsi nilisema kipindi kile kwamba maandamano ya Chadema eti yanalindwa na Polisi; Yana tofauti gani na maandamano ya kuhamasisha tohara kwa wanaume?
 
Back
Top Bottom