Expensive life
JF-Expert Member
- May 2, 2020
- 2,971
- 9,437
Niliwahi kuingia barbershop moja humu ndani kuna full kiyoyozi huduma si mchezo masaa mawili kinyozi anakunyoa hana haraka.
Nikanyoa si unajua tena wadada wa barber shop kaka uso wako una mafuta sana ngoja tukusafishe uso, nikatoka nimeg’aa ile mbaya, ikaja bill macho yalinitoka 45000.
Uzuri nilikuwa na pesa mfukoni, sikubishana kwa kuwa sikuuliza hapo awali. Kuanzia siku hiyo nikawa na adabu.
Nikanyoa si unajua tena wadada wa barber shop kaka uso wako una mafuta sana ngoja tukusafishe uso, nikatoka nimeg’aa ile mbaya, ikaja bill macho yalinitoka 45000.
Uzuri nilikuwa na pesa mfukoni, sikubishana kwa kuwa sikuuliza hapo awali. Kuanzia siku hiyo nikawa na adabu.