Wakuu huu usajili wa Wasafi Festival sijauelewa

Wakuu huu usajili wa Wasafi Festival sijauelewa

Lavit

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2011
Posts
14,834
Reaction score
32,522
Hawa jamaa naona promo zao zimejaa vijembe vya kila aina huku wakiongozwa na boss wao, jambo ambalo sijaona umuhimu wake maana muziki ni burudani na sio vita...

Wanajitutumua kusema ni mapinduzi ya burudani mara sijui nini...hapo nikasema ngoja nifatilie list ya wasanii nje na wao..aisee nimekuta vituko huko!!

Humo kuna akina Dudubaya ambaye hajulikani hata anaimba nn zaidi ya kupayuka Konki konki....nao wameona akina Chiny beez, moko na stereo ndio wasanii wa kufanya mapinduzi wanayohubiri...

Nyie jamaa sajirini watu wa kueleweka tutawaunga mkono na sio kutuleta akina One Incredible na Khadija Kopa ambao munawalipa laki mbili mbili...
 
Wasani wa wasafi tu wanatosha kwa festival yote .. ao wengine ni waziada mwanzo huuu acheni paniki ...sasa sijajuwa festival ya kibakuli itaitwa kibamia festival ao hahahaha
Panick ya nini mkuu...nisaidie ni mapinduzi gani wanayoyahubiri??
 
Ngoma inogiree wewe chiny beez mkarii ,hapo hamo pale mbosso,kwa kule rayvanny,pale countyr boy,halafu mzee mzima daimond kwanza hata daimond pekee anaweza fanya shoo na ikambamba kinomaaa
 
Basi usidhihaki biashara ya mtu wakati wewe huna sababu hujui mwenye biashara ana malengo gani.
Mkuu hizi show tunalipa viingilio..hivyo asiokote tu wasanii kisa anasema konki konki
 
Kuwapa nafasi wanaobaniwa,

Ulitaka amchukue joh makini amwache nikki mbishi? Utofauti wake na clouds utakua wapi?
Wanabaniwa au hawana kazi za kuwafanya wapate show? Hivi hao akina Stereo na Chiny beez wana hits gani??
 
Back
Top Bottom