Wakuu huu usajili wa Wasafi Festival sijauelewa

msikilize sana nikk mbishi utamwelewa wasanii wengi choka mbaya wengine ndo hivyo wanajifanya kuimb hiphop kibiashara sasa hawa hata magari hawana
 
umewasahau wasafi wenyewe! ukitaja wasanii 10 bora East Africa wasafi wataingia more than 2! hao wengine ni supportive tu!
 
bro tafuta kwanza ile interview ya Mond wakati ana tambulisha uwepo wa wasafi festival... ukisikiliza ile ndio utaelewa...! kamaliza kila kitu mule... wewe ume rukia gari kwa mbele hacha likugonge...
 
Mnafatilia wapi mkuu...mbona kizuri kinajiuza tu!! Hao jamaa wanaimba vitu ambavyo havitrend redion wala kwenye social media...
Wanaimba nini??
Nn maana ya #Trend mkuu? Hapo ndio umedhihirisha uzwazwa maana hujajua unachoongelea
Kwa Wasafi walivyothubutu haya Ni mapinduzi kweli believe me.sio Sibuka fm ile.baada ya Efm kwa upinzani Wasafi ndio wanafuata
 
Ila still maamuzi yanakuwa yapo kwa msanii mwenyewe, kama kina nikki mbishi wao wamekaza hawabadili style maana ngumu ndio kwao!
 
Ofcoz mzee maana hata Diamond kuimba Nyegezii ni kibiashara...
Ila still maamuzi yanakuwa yapo kwa msanii mwenyewe, kama kina nikki mbishi wao wamekaza hawabadili style maana ngumu ndio kwao!
 

WCB peke yao ni tosha kabisa......kwa sasa ndiyo the most expensive show East Africa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…