matunduizi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 7,968
- 19,368
- Thread starter
-
- #21
daaUgali+amira kibao.
Matembere sokoni mengi tu yakuokota, gharama yako maji ya kusafishia na sasa hivi mitaro imejaa.
Dagaa wapo waliolowa na mvua hawafai kusafirisha, nikuwasafisha sana.
Nyama ndaza hizi bongebonge kilo elfumbili.
Kuku hii siri tangu, piga ua sikuambii.
huwa tunaweka hamira unakuwa mwingiNimelipa 1500
Nimekula
Ugali
Dagaa wa mwanza
Samaki Kibua
Mlenda
Bamia
Maharage
Matembere
Kila kimoja kinajitegemea havijachanganywa.
mkuu hamira inamadhara gani?huwa tunaweka hamira unakuwa mwingi
ova
Nafikiri ungemuuliza yeye,afu 1500kama kubwa vile,huku kwetu ni buku tu wali nyama,maharage na vegetable vivyo hivyo ugali nyama,dagaa,vegetable n.kNimelipa 1500
Nimekula
Ugali
Dagaa wa mwanza
Samaki Kibua
Mlenda
Bamia
Maharage
Matembere
Kila kimoja kinajitegemea havijachanganywa.
ushirombo mchele si analima mwenyewe. nyama mbuzi zake anachinja mkuuNafikiri ungemuuliza yeye,afu 1500kama kubwa vile,huku kwetu ni buku tu wali nyama,maharage na vegetable vivyo hivyo ugali nyama,dagaa,vegetable n.k
Huyo anaetoza 1500 anapata super profit
ushirombo mchele si analima mwenyewe. nyama mbuzi zake anachinja mkuu
Kalishwa maiti bila kujijua...Mhh ugali samak kwa 1500??
Macho yako ni ya kawaida tu. Pitia kwa wataalamu update macho ya kuyaona hayo mauzauza.hahaha
mkuu ni nje ya hospital kuu ya kitanzania usikute kweli.
Ila nimeinvestigate ile sahani kwa macho yangu ya nyama ilikuwaa Geunuine.
mamaaa, makohozi tena?Vyakula vya mama ntilie sio vya kuzoea sio vyakula salama kabisa, ukiachilia mbali uchafu na uchakachuaji unaofanyika mf utumiaji wa amila, kuoshea maji ya mtaloni kuna mambo ya ushirikina sana, wemgine hutemea mpak makohozi kwenye chakula ili mambo yaende sawa.....kuna mambo ya ajabu sana kwa mama ntilie
kona moja karibu na hospitali ya taifa letu pendwaNdio, that's why kulikua na umuhimu wa kutaja ye yuko wapi huko wanakopigwa bei kubwa hvyo
mkuu taratibu, nisijerudisha chenchi.Kalishwa maiti bila kujijua...
mkuu, kuna stori eti zile miko huwa ni viganja wa watu🤔🤔Macho yako ni ya kawaida tu. Pitia kwa wataalamu update macho ya kuyaona hayo mauzauza.
Anakupenda huyo bila shaka anataka uwe mwandani wake subili muda si mrefu, mwenzio katerekeza familia sababu ya supuNimelipa 1500
Nimekula
Ugali
Dagaa wa mwanza
Samaki Kibua
Mlenda
Bamia
Maharage
Matembere
Kila kimoja kinajitegemea havijachanganywa.
Mzee baba kwa mama ntilie ni amsha popo....mamaaa, makohozi tena?
Haaa haaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tena mbwa aliyegongwa na gariNyama ya paka umeuziwa
Mwache mdogo wangu kalala kwenye lindo. Ni hivi unapewa bamia moja, mchicha kidogo, samaki kibua wanatoa feri wanajua jinsi wanavyo bargain, ugali wanakupa umeshapigiwa mahesabu. Mimi nina mama ntilie pale kwangu. Nyama minofu miwili, mchicha au mboga yoyote kidogo, maharagwe na mchuzi kidogo. At the end of the day kama wateja wamekuja anapata faida elfu 3 tu baada ya kunilipa mimi za pango na kulipa alipokopa kuanza biashara asubuhi. Upo. Akirudi nyumbani mme kanuna wakati yeye kabeba mandoo na mtoto mgongoni. Kesho yale yale halafu mnakuja humu mnatunanga wanawake hamjui maisha tunayoishi. Mnawaangalia hao mabishoo lakini mnasahau mama na dada zenu wanaoteseka kusomesha wadogo zenu bila msaada wa waume zao wanaolewa na kujidundika madawa.Mshana Jr
jamaa ananitisha huko juu. hebu dondosha hekima zako hapa. Ulozi upo hadi kwenye mambo nyeti kama misosi mkuu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] babu hutaki aende mchangia mama lishe tena?Kalishwa maiti bila kujijua...
maneno yamechanganyikana na machozi.Mwache mdogo wangu kalala kwenye lindo. Ni hivi unapewa bamia moja, mchicha kidogo, samaki kibua wanatoa feri wanajua jinsi wanavyo bargain, ugali wanakupa umeshapigiwa mahesabu. Mimi nina mama ntilie pale kwangu. Nyama minofu miwili, mchicha au mboga yoyote kidogo, maharagwe na mchuzi kidogo. At the end of the day kama wateja wamekuja anapata faida elfu 3 tu baada ya kunilipa mimi za pango na kulipa alipokopa kuanza biashara asubuhi. Upo. Akirudi nyumbani mme kanuna wakati yeye kabeba mandoo na mtoto mgongoni. Kesho yale yale halafu mnakuja humu mnatunanga wanawake hamjui maisha tunayoishi. Mnawaangalia hao mabishoo lakini mnasahau mama na dada zenu wanaoteseka kusomesha wadogo zenu bila msaada wa waume zao wanaolewa na kujidundika madawa.
hahahaAnakupenda huyo bila shaka anataka uwe mwandani wake subili muda si mrefu, mwenzio katerekeza familia sababu ya supu