Wakuu huyu 'Mama Ntilie' anapataje faida? Naona kama nimefaidi zaidi Ugali mboga 7

Nikizidiwa huwa nabonyea hapo huwa sinywagi maji yao tu ila kuna raia hadi maji wanakunywa..
Ukiiga tubakukuta muhimbili na dripu
kuna mshikaji ni chinga pale buguruni mnyamani alinipeleka Kwa mama ntilie dah sikuamini nikabaki nashangaa tu sema ilinibidi nikubali ili nisimuuzi mshikaji nilipiga msosi huku nawaza Ila wao wanapiga msosi bila wasiwasi na story juu ..Ila maji yao niligoma.Tuwaachie wenye fani zao
 


Kule kuna Neema ya vyakula...tunajinenepeaga tu sie
 
sasa minono kama hiyo ndio fungu sh ngapi sasa? mi ndo mana namwambiaga mr morogoro asishindane na wewe,mbishi Haya sasa aje nae atupie dagaa wake tuwaone...πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹


Morogoro kuna samak fulan maarufu balaa..wanaitwa Nguruka..jaman mm wale samak had huwa nasisimka..vta ajabuuu vimekaußshwa na mawese😏😏😏..unaweza kuta samak ana miez hata 8 ww unamla leo..hhaha bora nile ugal mchicha aisee...hahaa Mr morogoro yule mluguru
 
sema we nawe hujui mavituz ndo mana nasema wewe mboga saba...nguruka ni watamu hatari hatari...Nguruka na dagaaa kinachokaa muda mrefu nini sasa na wewe Chibonge...Nguruka hapo niπŸ‘Œ
 
Mmmm
 
buguruni, mhhh

yasijekuwa malapulapu ya nyama kutoka vingunguti.
unaweza kula ngozi iliyochunwa unadanganywa ni steki.


prof matunduizi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kule si ndiyo supu unachagua kwenye jungu kisha unakatiwa katiwa katika kibao uwiiii jamani!
 
sema we nawe hujui mavituz ndo mana nasema wewe mboga saba...nguruka ni watamu hatari hatari...Nguruka na dagaaa kinachokaa muda mrefu nini sasa na wewe Chibonge...Nguruka hapo niπŸ‘Œ


unakula Nguruka???πŸ˜‘πŸ˜‘πŸ˜‘ uwiii...jaman u awezaje kuwala.wale wamekauka vileπŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†...ndo maana hunenepiπŸ˜‡
 
Sisi ambao hatuna wakutupikia kuna mda vitu kama ivo tunamwachia mungu, maana
nahisi tokea nianze kula kwao ni mungu tu anatulinda

Sema wanajua kupika na vyakula vyao vitamu
Si wote wachafu, wapo wasafi kabisa unakula kabisa bila wasiwasi
 
Kuna siri moja ktk kupika, "it doesn't matter what are you cooking, what matters most is how you cook it"

Yaani ni hivi mafuta unayonunua wewe 5 litres tshs 20,000 yeye ananunua tshs 13,000 mchele unaonunua wewe tshs 2,000@ kg yeye ananunua tshs 1,300
Kwa kifupi sahani 34 ambazo zinaweza kumuingizia tshs 50,000/= inaweza kumgharimu yeye sio zaidi ya tshs 25,000/=
 
unakula Nguruka???πŸ˜‘πŸ˜‘πŸ˜‘ uwiii...jaman u awezaje kuwala.wale wamekauka vileπŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†...ndo maana hunenepiπŸ˜‡
wale huwajuliii banaaa..sio ukiwafata tu unawachukua na kuwachoma...Unawaloeka kwanza unawasahau hata nusu saa au lisaa wanachuja chumvi..bada unawachukua unawatia Limao na pili pili na vikorombwezo vingine kisha ndio unawachoma...eeeh bwana weeeeeeeeeeee πŸ˜‹ πŸ˜‹ πŸ˜‹ πŸ˜‹ usinifanye niskie njaaa saizi nshajishbia wali wangu wa buku jero.

kale mi samaki yako Pacha ake peter msechu weweπŸ˜‚πŸ˜‚
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kule si ndiyo supu unachagua kwenye jungu kisha unakatiwa katiwa katika kibao uwiiii jamani!
hahahaha
kule ukienda saa kumi usiku unaweza kununua supu ya kichwa cha mbuzi buku na chai.
ila usiulizeulize na kuchokonoa maswali mengi.
 
nguruka wa ukweli sana ila mkuu wanavimichanga alfu wanawasha.
Ila mule sidhani kama kuna virutubisho. wagumu kama mbao.😁😁😁😁
 
MAMA NTILIE NDIO MFANO SAHIHI WA WAJASIRIAMALI,UKIMFATA AKWAMBIE ANAVYOPATA FAIDA NA CHAKULA KIKIBAKI ANAKIFANYAJE NADHANI KESHO YAKE UTATAKA NAWEWE KUWA MAMA NTILIE..

HAWA WAMAMA WANAPIGA HELA,NILISHAPANGA NYUMBA MATHOR HOUSE NI MAMA NTILIE KABISA TENA ANAPIKIA NYUMBANI ANAENDA KUUZA ROAD USIKU BWANA MAMA ANAUZA HUYOOO ACHENI TU.

WANAJUA WAKIFANYACHO.
 
itakua wewe ndo chambo ya biashara [emoji23][emoji23][emoji23] ungejua ulicho lishwa dah
 



Oh Lawd...!kwakweli life span yenu wala ngurka itakuwa roboo.hehhehe sijala bado..sitakag hata ziingie nyumban kwangu😣😣😣...hhaha ati pacha wa msechu...hahahaa...!..nikikuangukia ww hunyanyukiiiiπŸ˜†πŸ˜†
 
hahahaha
kule ukienda saa kumi usiku unaweza kununua supu ya kichwa cha mbuzi buku na chai.
ila usiulizeulize na kuchokonoa maswali mengi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kicha cha mbuzi, ila walevi inawasaidia sana unashangaa uliko kg ya nyama buku 7,
unapita huko buku 3 [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] haaa malapulapu hayo,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…