Wakuu kuna mishangazi ina joto, asikwambie mtu

Sijawahi sikia popote askari aliyeshindwa vitani akisimulia how brave alivyopambana
 
Pole Mkuu ndio ukubwa huo, fanya uoe.


Nyege ni Janga kwenye Taifa hili.


KaziKweliKweli/JobTrueTrue
Daah si mchezo mkuu, wadau hapa wanadhani masiala kuna mtu siku moja atakuja toa ushuhuda kama wangu.
 
Hii kitu kwa binadamu yoyote ambaye ana afya njema linaweza kumpata kabisa, msipondee thread kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…