edon66
JF-Expert Member
- Feb 11, 2023
- 2,907
- 9,135
Lishangazi au cyo mkuuu.vp namba ukuchukuaaa ukachek yaliyomo yamo [emoji23]Mkuu hata ingekuwa wewe hiyo kitu usingekwepa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lishangazi au cyo mkuuu.vp namba ukuchukuaaa ukachek yaliyomo yamo [emoji23]Mkuu hata ingekuwa wewe hiyo kitu usingekwepa
ni kundi gan l awenye uafadhali ni wepi hapo mkuu ili niombe radhiTutake radhi mkuu.
Tupo wenye afadhali kidogo..
Nyuzi zako hizi...Aaaaaah kudadadeki 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Ungeshuka tu mkuu ukajaribu bahati yako.Hahahaaa! Lenyewe ndo lilikuwa la kwanza kushuka mkuu maana alishukia Philips, kituo changu ilikuwa Sanawari.
Wizo si ulileta madaha humtaki bro umempiga chini!! Leo umemmiss naona umeshindwa kujizuia 🤣🤣🤣
Unamatatizo sio bureLeo asubuhi nilikuwa na safari fupi kutoka Kili kwenda A-Town. Nilipofika stendi niliingia kwenye coaster ambayo ilikuwa imeshajaza abiria tayari.
Hivyo konda akachombeza kimtindo hapo nikakaa katikati mwa seat ambapo huwa kuna ka-seat kadogo ivi. Basi chuma akapiga mafuta kituo hadi kituo watu wakawa wanapungua.
Basi baadae ivi watu wakawa wamebaki kidogo kwenye ile seat niliyokuwa nimekaa nikasogea upande ambao kuna lishangazi jeupe hivi lilikuwa limevalia kasketi kafupi ivi keusi vile vinavyobana mwili fresh kabisa.
Kwa umbo lake lishangazi lilikuwa na nyama ivi za wastani ila zimekaa fresh kinoma na mahips ya kiuchokozi kabisa mtu wangu.
Basi mwanaume nikakaa nikatulia kimtindo, sasa kwa sababu ya zile hips zake na minyamanyama ile alooh paja lake la mguu wa kushoto likabanana la langu la mguu wa kulia kuanzia muda ule hadi liliposhuka kituo cha Philips karibu na jengo jipya la PAPU.
Wakuu kusema ukweli lile joto lililokuwa linatoka kwenye paja la hilo lishangazi kuingia kwenye paja langu nilihisi raha moja hiyo hatari sana kwa muda wote huo nikiwa nimekaa tuli.
Baadae ivi kadri tulivyokuwa tunaenda lishangazi lilianza kusinzia wakuu na kichwa chake kuanza kuyumba na kuanza kukosakosa kugonga kioo cha dirisha.
Kuna muda lile joto namna lilivyokuwa linapita kwenye paja langu lilisambaa hadi nikaanza kulihisi kwenye mkuyenge, na hapo hapo mkuyenge ulianza kujaa upepo ila nilijitahidi sana kupeleka mawazo mbali kidogo ili nisije leta fedheha kwenye gari.
Kumaliza tu, kama kuna mishangazi ya namna hii kwenye platform hii popote mlipo mjengewe minara yenu. [emoji119][emoji119]
Utoto raha sanaa😂😂😂😂Leo asubuhi nilikuwa na safari fupi kutoka Kili kwenda A-Town. Nilipofika stendi niliingia kwenye coaster ambayo ilikuwa imeshajaza abiria tayari.
Hivyo konda akachombeza kimtindo hapo nikakaa katikati mwa seat ambapo huwa kuna ka-seat kadogo ivi. Basi chuma akapiga mafuta kituo hadi kituo watu wakawa wanapungua.
Basi baadae ivi watu wakawa wamebaki kidogo kwenye ile seat niliyokuwa nimekaa nikasogea upande ambao kuna lishangazi jeupe hivi lilikuwa limevalia kasketi kafupi ivi keusi vile vinavyobana mwili fresh kabisa.
Kwa umbo lake lishangazi lilikuwa na nyama ivi za wastani ila zimekaa fresh kinoma na mahips ya kiuchokozi kabisa mtu wangu.
Basi mwanaume nikakaa nikatulia kimtindo, sasa kwa sababu ya zile hips zake na minyamanyama ile alooh paja lake la mguu wa kushoto likabanana la langu la mguu wa kulia kuanzia muda ule hadi liliposhuka kituo cha Philips karibu na jengo jipya la PAPU.
Wakuu kusema ukweli lile joto lililokuwa linatoka kwenye paja la hilo lishangazi kuingia kwenye paja langu nilihisi raha moja hiyo hatari sana kwa muda wote huo nikiwa nimekaa tuli.
Baadae ivi kadri tulivyokuwa tunaenda lishangazi lilianza kusinzia wakuu na kichwa chake kuanza kuyumba na kuanza kukosakosa kugonga kioo cha dirisha.
Kuna muda lile joto namna lilivyokuwa linapita kwenye paja langu lilisambaa hadi nikaanza kulihisi kwenye mkuyenge, na hapo hapo mkuyenge ulianza kujaa upepo ila nilijitahidi sana kupeleka mawazo mbali kidogo ili nisije leta fedheha kwenye gari.
Kumaliza tu, kama kuna mishangazi ya namna hii kwenye platform hii popote mlipo mjengewe minara yenu. [emoji119][emoji119]
Nimecheka Kwa sauti😂😂😊😂Kuna thread ukiziona unatamani kwanza umjue mtoa mada ni wa aina gani yaani umri wa mtu, kazi yake, mali anazomiliki n. k maana kwa akili hizi sijui mtu ana hatua gani za kimaisha.
Basi hii ni chaiHahahaa! Mkuu nimevaa suruali kabisa tena kadeti.
Tatizo ananichunia sana, siku nikimpata atajutraaa 😂😂😂Wizo si ulileta madaha humtaki bro umempiga chini!! Leo umemmiss naona umeshindwa kujizuia 🤣🤣🤣
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Tatizo ananichunia sana, siku nikimpata atajutraaa 😂😂😂
Mambo ya Katibu Mkuu........watz wengi wanawaza ngono 24/7tanzania kuanzia viongozi ngazi za juu viongozi ngazi za chini wananchi wa umri mkubwa,umri wa makamo,vijana,watoto wote wamepagwa aisee ona huyu [emoji1787]
"Black people are GOOD FOR NOTHING else, apart from indulging in Sex and Marrying so many Wives."Yaani hii nchi..., sio viongozi wala raia.🤣
Ila tutafika tu
😂😂😂huku chogolo anarusha picha za mshedede wake akiomba picha ya pakuingizia😂Yaani hii nchi..., sio viongozi wala raia.🤣
Ila tutafika tu