Wakuu kuna mishangazi ina joto, asikwambie mtu

Kijana Mh Rais kasema kipaumbele kwa sasa ni uokozi wa mafuliko ya hanang'. Tokapa lione hebu kuwa mzalendo
 
Hujawahi soma current electricity!!?go back!electricuted individual are always hot like they have fever!!!
!?
 
Yatakujengea wewe,famasihara nini 🀣
 
kuna lishangazi aiseee nilipigaa japo kwa kubaniwaa sanaaa...na halikukubali bila ndom hadi leo nalitamani ila lisumbufu mme wake nongwa.
 
kuna lishangazi aiseee nilipigaa japo kwa kubaniwaa sanaaa...na halikukubali bila ndom hadi leo nalitamani ila lisumbufu mme wake nongwa.
Inaonekana ulilipa show ya kibabe mkuu, nenda kapate rematch [emoji16][emoji16]
 
Ulipata namba yake?
 
Na hukuchua namba ya simu wala kusema nae. Vijana wa hovyo kabisa πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…