Wakuu mdogo wangu kapata div 4 ya 33

Wakuu mdogo wangu kapata div 4 ya 33

Umemaanisha arudie kidato cha nne au atafute nafasi ya kidato cha tatu afanye mtihani mwakani ? Sidhani kama inawezekana kwa mtu aliyefeli kidato cha nne kurudia kidato cha tatu, labda arudie mtihani wa kidato cha nne kama Mtahiniwa wa kujitegemea (private candidates).
Arudie form3 alafu alifika f4 aniandikishe kama private candidate...hapo kama atakua serious anaweza ondoka na kitu lakini akisema akarudie f4 atakula zero tena

Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
 
Kwa nini hakutegemea? Nani alimfanyia paper? Mpeleke gereji
Apelekwe garage alafu baadae mnakuja kulia umu oooh hakuna mafundi gari wazuri bongo kumbe wenyewe ndio mnawapeleka akifeli shule
 
Wakuu mdogo wangu kapata div 4 ya 33.

Ana ufaulu huu hapa kisw C, hist,F civ F, geo F, bio F, eng F, math F, Nishaurini anafaa kusomea nini au ni sehemu gani itakayomfaa maana hapa natafakari na yeye kachanganyikiwa maana alitamani akasomee clinical officer but ufaulu haumruhusu nipeni ushauri wakuu ana stress Sana hakutegemea hayo matokeo.
[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
Aende jkt awe askari
 
aachane na shule haimfai muhimu ashatoa ujinga, mfundishe biashara mkuu, bado Mdogo sana huyo na ukimsimamia atafanya vizuri huko mbele, mfungulie hata kijiwe cha pweza kwa kuanzia na umpe target kulingana na biashara utakavyoiona, haya mambo ya kusomea kusomea yamewachelewesha wengi sana
Yeah nimekupata, shukurani
 
Wazazi mnadanganywa sana.Eti hakutegemea na ww unakubali?Hao si ndo wale wakata viuno mashuleni
 
Anachanganyikiwaje wakati amevuna au yeye alipanda ngano akavuna mahindi?
Muandikishe akaresit
 
Inatokeaga hio yani matokeo ambayo kipindi wewe unasoma walikua wanapata wale sitaki shule then mdogo wako au mwanao ndo anayaleta nyumbani unabaki kusemaa hiiiiiih in JPMs voice
 
clinical officer haiwezekani kwanza japo ana F ila mdogo wako wakati ameingia form 3 kaikimbia chemistry na physics aya iyo clinical anasomaje uyo mtu wa arts combination?
 
Yaani mtu aliyefeli Kia's hicho Kweli akawe clinical officer hapn bhna msichezee elimu Kiasi hcho Ni Bora tu aolewe au akajifunze Kaz za ushonaji na kutarizi vitambaa na vitenge
 
Yaani mtu aliyefeli Kia's hicho Kweli akawe clinical officer hapn bhna msichezee elimu Kiasi hcho Ni Bora tu aolewe au akajifunze Kaz za ushonaji na kutarizi vitambaa na vitenge

Na hajasoma physics wala chemistry
 
Kwa nini hakutegemea? Nani alimfanyia paper? Mpeleke gereji
Hivi kwanini waliofeli wanapelekwa kujifunza zile fani zenye kuhitaji umakini bila kusomea?
Imagine mtu kapata zero (sio huyo) akatengeneze magari bila kusomea. Tunaongeza uwingi wa ajali barabarani kwasababu mafundi wanaorepair magari hayo ni vilaza

Only in Tz.
 
Hivi kwanini waliofeli wanapelekwa kujifunza zile fani zenye kuhitaji umakini bila kusomea?
Imagine mtu kapata zero (sio huyo) akatengeneze magari bila . Tunaongeza uwingi wa ajali barabarani kwasababu mafundi wanaorepair magari hayo ni vilaza

Only in Tz.
Gareji na ufundi seremala kule unajifunza moja kwa moja kwa vitendo tu,sawa na mkulima. Hata uwe kilaza kiasi gani lazima tu uelewe. Kama ni kilaza zaidi huko gareji itakuchukua muda kujua, wewe utakuwa unatumwa sana na vibao vingi. Ila ukija kujua unakuwa mzuri sana. Ksbb umejifunza kidogo kidogo kwa kurudia rudia.

Ajali za barabarani hazisababishwi na mafundi. Ndio maana ajali nyingi sio sababu ya ufundi,kama labda kifaa ku-feal kwenye gari. Ajali nyingi za barabarani zinasababishwa na madereva wenyewe. Hasa mwendo kasi na ku-overtake sehemu asiyoona mbele.
Mwisho ufundi wa magari ukiupatia una pesa nyingi,ni utajiri. Ili mradi tu uwe na bidii na malengo.
 
Uyo kilaza hakua serious kabisa shuleni,
Huwez kusema unapata iv ya 33 afu useme hukutegemea kufeli, ulitegemea kufaulu marks za kusomea utabibu[emoji1787]
 
Kama kuna pesa itumie tu aingie chocho lolote apate ata diploma
Maana sio kwahio miswaki
 
Back
Top Bottom