Wakuu mnaofanya kazi kwa vikundi tanesco mnatoboaje kimaisha??

Wakuu mnaofanya kazi kwa vikundi tanesco mnatoboaje kimaisha??

el myng

Member
Joined
Oct 14, 2024
Posts
12
Reaction score
22
Habarini wana JF hizi kazi kwa vikundi tanesco mnaopata bahati ya kufanya kazi mnajikwamua vipi..kwani mikataba ni kandamizi sana..nyie mnawezaje??
 
Back
Top Bottom