wakuu mnisaidie hapa kuhusu uombaji wa ajira ya jeshi la uhamiaji

wakuu mnisaidie hapa kuhusu uombaji wa ajira ya jeshi la uhamiaji

blind fighter

Member
Joined
May 17, 2021
Posts
62
Reaction score
82
nimeona hili tangazo la ajira za jeshi la uhamiaji, naombeni kujua kwamba, kwa fresh graduates ambao hawajapata vyeti toka vyuoni wanaombaje hizi nafas? maana nimeona vyeti vihakikiwe, inakuwaje kwa fresh graduates ambao hawajapata vyeti?.

mwenye anaweza kunijibu/kutoa mwongozo kuhusu hili tafadhali. maana nataka niApply ila ndo hivyo vyeti bado.
nawasilisha
 
ila jamii forum bhana. kwa hiyo post yangu mnasoma na kupita tu, au sio?
 
nimeona hili tangazo la ajira za jeshi la uhamiaji, naombeni kujua kwamba, kwa fresh graduates ambao hawajapata vyeti toka vyuoni wanaombaje hizi nafas? maana nimeona vyeti vihakikiwe, inakuwaje kwa fresh graduates ambao hawajapata vyeti?.

mwenye anaweza kunijibu/kutoa mwongozo kuhusu hili tafadhali. maana nataka niApply ila ndo hivyo vyeti bado.
nawasilisha
Kwa Nini hujachukua hivyo vyeti?
 
nimeona hili tangazo la ajira za jeshi la uhamiaji, naombeni kujua kwamba, kwa fresh graduates ambao hawajapata vyeti toka vyuoni wanaombaje hizi nafas? maana nimeona vyeti vihakikiwe, inakuwaje kwa fresh graduates ambao hawajapata vyeti?.

mwenye anaweza kunijibu/kutoa mwongozo kuhusu hili tafadhali. maana nataka niApply ila ndo hivyo vyeti bado.
nawasilisha
Kama vyeti havijatoka maana yake huna sifa ya kuomba hiyo kazi, Achia wenye vyeti wakapambane na wewe subiri wakati mwingine.
 
Back
Top Bottom