Kwanini?.Kuchamba kwingi kutoka na kimba
kasema hataki kushauriwa kumpeleka mtoto wake shule za kayumba kwa hiyo mchango wako kwake ni majina ya ems zilizo maeneo tajwa.Kama mtu asije na ushauri unataka ushauri wa nini kajishauri basi mkuu maana unatuona viazi.
NEnda google search school near meMwenye kujua shule ya private maeneo ya kimara mpaka mbezi, kama nitajua na ada yake kwa mwaka itakuwa vizuri.
NB: shule za karibu za government nilizojaribu kuzifatilia naona mazingira sio mazuri sana , kwahiyo mtu asije na ushauri wa nimpeleke mtoto Kayumba!
Walifutiwa matokeo 2022 kwa hivyo nadhani miaka mitatu ikitimia watafanyia mitihani kituoni kwao.Walipatwa na shida gani kwani?
Shadaim!Mwenye kujua shule ya private maeneo ya kimara mpaka mbezi, kama nitajua na ada yake kwa mwaka itakuwa vizuri.
NB: shule za karibu za government nilizojaribu kuzifatilia naona mazingira sio mazuri sana , kwahiyo mtu asije na ushauri wa nimpeleke mtoto Kayumba!
DahMwenye kujua shule ya private maeneo ya kimara mpaka mbezi, kama nitajua na ada yake kwa mwaka itakuwa vizuri.
NB: shule za karibu za government nilizojaribu kuzifatilia naona mazingira sio mazuri sana , kwahiyo mtu asije na ushauri wa nimpeleke mtoto Kayumba!