Wakuu msaada tafadhari nimesahau jina langu halisi

Kwanza nilistua tittle

Nikaja kudharau nilivyona HR 666

Nilivyosoma tread nikaishia kucheka tu,

Ukiicha kumwabudu shetani utaacha huu uzinguaji wako
 
wafumuliwa marinda-mirinda- nyu - ma wengi ndio hua wanapoteza kumbukumbu za majina yao kisayansi..nadhani wewe ni muhusika pia.. mcheki rayvan hapa anatafuta washirika..
Duh mkuu mbona unatukana?
 
dah! we kijana nakujua mm ni rafiki mkubwa sana wa baba yako tulisomaga wote jina laki kamili unaitwa MATAKOLILE KIBOGA MWAKITIGO jina la hr 666 ni la utani ulipewa na Mjomba wako NYANTUZI kipindi kile unaishi ITIGI
 
dah! we kijana nakujua mm ni rafiki mkubwa sana wa baba yako tulisomaga wote jina laki kamili unaitwa MATAKOLILE KIBOGA MWAKITIGO jina la hr 666 ni la utani ulipewa na Mjomba wako NYANTUZI kipindi kile unaishi ITIGI
hapana sio kweli
 
[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]
 
Hata Bashite hakumbuki jina lake alilipewa na wazazi wake!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…