boyson onlye
JF-Expert Member
- Sep 13, 2015
- 1,108
- 1,397
Kwanza nilistua tittleWakuu najua itawaia vigumu kuamini ninachowaambia ila ni kweli kabisa nimesahau jina langu halisi nililopewa na wazazi
Jina ambalo ninalolijua ni hili jina la utani au AKA na jina la JF tu lakini jina halisi nimelisahau
Swali ni je ni vipi naweza kukumbuka jina langu ?
Nimejaribu kuwauliza wazazi jina langu wakajua nawaafanyia mizaha
Je watu wa RITA wanaweza kunipa msaada ?
Nikaja kudharau nilivyona HR 666
Nilivyosoma tread nikaishia kucheka tu,
Ukiicha kumwabudu shetani utaacha huu uzinguaji wako