Wakuu msaada tafadhari nimesahau jina langu halisi

Wakuu msaada tafadhari nimesahau jina langu halisi

Hali inaweza ikawa ngumu but haijafikia huku...
 
Bange bhana... Eti unakumbuka tu a.k.a yako tu.. Hiyo a.k.a ulianza kuitwa tangu ukiwa na mwaka mmoja au? Utakua sio mzima
 

Attachments

  • 1483220564264.png
    1483220564264.png
    28 KB · Views: 73
Wakuu najua itawaia vigumu kuamini ninachowaambia ila ni kweli kabisa nimesahau jina langu halisi nililopewa na wazazi


Jina ambalo ninalolijua ni hili jina la utani au AKA na jina la JF tu lakini jina halisi nimelisahau


Swali ni je ni vipi naweza kukumbuka jina langu ?



Nimejaribu kuwauliza wazazi jina langu wakajua nawaafanyia mizaha


Je watu wa RITA wanaweza kunipa msaada ?
Ww kifungoni umetoka lini au umetoroka fox liver
 
Jina lako ni FARU JOHN, jitambulishe hivyo kituo chochote cha karibu
 
Bangi tu tupu zunakusumbua huna ki ngine karibu kumuuliza aliyekupa bangi atakua anakumbuka jina lako. Vinginevyo ushaanza kuwa taahira so usisumbuke sana maana hata ukikumbushwa halina maana tena.
 
Wakuu najua itawaia vigumu kuamini ninachowaambia ila ni kweli kabisa nimesahau jina langu halisi nililopewa na wazazi


Jina ambalo ninalolijua ni hili jina la utani au AKA na jina la JF tu lakini jina halisi nimelisahau


Swali ni je ni vipi naweza kukumbuka jina langu ?



Nimejaribu kuwauliza wazazi jina langu wakajua nawaafanyia mizaha


Je watu wa RITA wanaweza kunipa msaada ?
wafumuliwa marinda-mirinda- nyu - ma wengi ndio hua wanapoteza kumbukumbu za majina yao kisayansi..nadhani wewe ni muhusika pia.. mcheki rayvan hapa anatafuta washirika..
 
Back
Top Bottom