Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tafuta pesaNataka nidownload nizijaze kwenye flash niwe nazigonga asubuhi na jioni wakati nafanya home workout.
Msaada tafadhali waungwana!
Nataka nidownload nizijaze kwenye flash niwe nazigonga asubuhi na jioni wakati nafanya home workout.
Msaada tafadhali waungwana!
Eheheheh. Mkuu hii jeki ya greda unaitumia kwenye bodabodaTatizo lenu vijana mnawekeza sana kwa wanawake. Mtateeswa sana na malaya
Hivi kweli malaya akufanye mpaka udownload nyimbo za kujifariji kama sio usenge ni nini?
Wanawake wengi miaka hii ni malaya ukiwazingatia sana utaumia. Malaya ni kama kunguru hafugiki
Ukiwa na mahusiano na mwanamke yoyote mchukulie kama malaya muuza uchi.
Huwezi kuumia hata siku moja kuona malaya uliyemnunua leo kesho ananunuliwa na mwanaume mwingine
Inasikitisha sana mkuu kuona kutwa nyuzi za vijana wanalialia kama machoko kisa wanawakeEheheheh. Mkuu hii jeki ya greda unaitumia kwenye bodaboda
Vijana wanaumizwa na mengi nafikiri sasa wanachanganyikiwa.Inasikitisha sana mkuu kuona kutwa nyuzi za vijana wanalialia kama machoko kisa wanawake
Yaani wamekuwa legevu kabisa, kama vile visanii vya Kikorea na Kifilipino kutwa kujiliza kwa wanawake
Usenge sana huu
Hivi kweli mwanaume utafute nyimbo za kumsimamga mwanamke?
If so they'll learn the hard wayVijana wanaumizwa na mengi nafikiri sasa wanachanganyikiwa.
Ujue mpaka kufikia maturity ambayo wengine tumejaaliwa it takes experience 😂😂
Bado.Au tuseme internet bado haijarudi huko kwenu????