Wakuu msaada wenu tafadhali,

Wakuu msaada wenu tafadhali,

Leejay49

JF-Expert Member
Joined
Feb 10, 2023
Posts
16,388
Reaction score
51,970
Habari za mda huu,.

Simu yangu ilikua nzito nikasema ni-restart ili ianze upya maana mtandao ulikuwa chini sana na sikuwa naweza kuongeza au kudownload picha wala chochote inaniambia space imejaa,. Kila kitu kimefutika icluding messages, contacts na kila kitu...

Nimeweza kurudisha contacts na picha kwasabu nilisave kwenye google Account,. Messeges nimeshindwa kabisa.

Wakuu tafadhalini naomba mnisaidie/mnielekeze narudishaje messages zangu zote za since 2021 maana zote ni za muhimu sana 😥😥🙏🙏

Ni samsung Galaxy s8+
 
Sms za tangu 2021..!
Mchumba unafanya kazi kitengo cha idara nyeti...?🤣

honestly let's keep this way honey, Ni ngumu kuzirudisha kama hukuweka mfumo wa back up!.
hapo ngoja waje hackers wa humu labda utaambulia chochote.
 
Kimfaacho mtu chake aisee!
Sasa meseji si ujumbe mfupi ukisha usoma ujumbe umefika kisha hauna kazi tena!
Zipo app za kurudisha sms lakini ila sio kwa ukamilifu
 
Uwe pia una google drive kwenye simu yako , inasaidia sana kwenye issues hizo
Screenshot_20250119-181344_Google Go.jpg
 
Back
Top Bottom