Wakuu msaada wenu tafadhali,

Wakuu msaada wenu tafadhali,

Kimfaacho mtu chake aisee!
Sasa meseji si ujumbe mfupi ukisha usoma ujumbe umefika kisha hauna kazi tena!
Zipo app za kurudisha sms lakini ila sio kwa ukamilifu
Mkuu ni za muhimu sana ukizingatia huwa sisave namba za watu wote,.Na zingine ni confirmations za miamala duh😓
Nimechoka sana walahi
 
Kama haukua na backup hazirudi usijichoshe kubali kilicho tokea, hakuna muujiza hapo
 
Mkuu… Rudisha simu ya mpenzi wako kama ilivyo, mapenzi hayaitaji hasira!?
Like serious?🤔
Sio kila mtu anawaza mapenzi mkuu,. Kama huna cha kunisaidia bora ungekaa kimya tu kuliko kuandika ujinga unajichoresha jinsi akili zako zilivyo matakoni

Am sorry lakini🙏
 
Habari za mda huu,.

Simu yangu ilikua nzito nikasema ni-restart ili ianze upya maana mtandao ulikuwa chini sana na sikuwa naweza kuongeza au kudownload picha wala chochote inaniambia space imejaa,. Kila kitu kimefutika icluding messages, contacts na kila kitu...

Nimeweza kurudisha contacts na picha kwasabu nilisave kwenye google Account,. Messeges nimeshindwa kabisa.

Wakuu tafadhalini naomba mnisaidie/mnielekeze narudishaje messages zangu zote za since 2021 maana zote ni za muhimu sana 😥😥🙏🙏

Ni samsung Galaxy s8+
Message zinarudi ikiwa umechagua wakati una initialize simu, ulivyoformat simu kama uliclick skip skip haziwezi rudi.

So kama huja anza kuweka vitu format tena then wakati inawaka kwa mara ya kwanza kuna option itakuja ya Kure store data chagua kila kitu Kure store mpaka sms.

Alternative kama una simu nyengine usio tumia format hio halafu restore data na hio email msg zikirudi zicopy halafu hamishia simu yako.
 
Habari za mda huu,.

Simu yangu ilikua nzito nikasema ni-restart ili ianze upya maana mtandao ulikuwa chini sana na sikuwa naweza kuongeza au kudownload picha wala chochote inaniambia space imejaa,. Kila kitu kimefutika icluding messages, contacts na kila kitu...

Nimeweza kurudisha contacts na picha kwasabu nilisave kwenye google Account,. Messeges nimeshindwa kabisa.

Wakuu tafadhalini naomba mnisaidie/mnielekeze narudishaje messages zangu zote za since 2021 maana zote ni za muhimu sana 😥😥🙏🙏

Ni samsung Galaxy s8+
Ulirestart simu ama uli reset?
 
Back
Top Bottom