Wakuu mwenye connection ya kazi ya kufundisha Math na Geography katika primary & secondary level

Wakuu mwenye connection ya kazi ya kufundisha Math na Geography katika primary & secondary level

Genius Mzee

Member
Joined
Jul 29, 2021
Posts
50
Reaction score
222
Wakuu naandika nikiwa nahitaji connection ya kazi ya ualimu katika ngazi zote za primary na secondary katika masomo ya Basic mathematics na Geography.

Nina uzoefu wa kufundisha secondary kwa miaka 5 na primary level kwa mwaka mmoja.

Nipo tayari kufanya kazi mkoa wowote mwenye connection naomba aniunganishe na shule.

Kiwango changu Cha elimu ni shahada ya ualimu.

Mwenye kuweza kuniunganisha popote Tanzania nipo tayari kwenda kufanya kazi.
 
Wakuu naandika nikiwa nahitaji connection ya kazi ya ualimu katika ngazi zote za primary na secondary katika masomo ya Basic mathematics na Geography.

Nina uzoefu wa kufundisha secondary kwa miaka 5 na primary level kwa mwaka mmoja.

Nipo tayari kufanya kazi mkoa wowote mwenye connection naomba aniunganishe na shule.

Kiwango changu Cha elimu ni shahada ya ualimu.

Mwenye kuweza kuniunganisha popote Tanzania nipo tayari kwenda kufanya kazi.
Offer yako boss
 
Wakuu naandika nikiwa nahitaji connection ya kazi ya ualimu katika ngazi zote za primary na secondary katika masomo ya Basic mathematics na Geography.

Nina uzoefu wa kufundisha secondary kwa miaka 5 na primary level kwa mwaka mmoja.

Nipo tayari kufanya kazi mkoa wowote mwenye connection naomba aniunganishe na shule.

Kiwango changu Cha elimu ni shahada ya ualimu.

Mwenye kuweza kuniunganisha popote Tanzania nipo tayari kwenda kufanya kazi.
Daaah!miaka sita na bado haujapata kazi serikalin mpka sshv...Mungu akutangulie tu upate ingawa Mimi mwenyewe jobless
 
Back
Top Bottom