matunduizi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 7,968
- 19,368
Kesho nikiwa na computer nitakutumia kiongoziwakuu kama kichwa japo juu.
Naomba msaada wa link au software ya biblia ya kiswahili SUV au Standard Union Version.
Natanguliza shukrani.
Nami nasubiria kupata hiyo linkKesho nikiwa na computer nitakutumia kiongozi
Barikiwa.
Nami nasubiria kupata hiyo link
Nitaiweka hapa muipate wote ndugu zanguNadhani ni vizuri mkuu ukatuma hapa ili watu wengi wanufaike na injili isonge mbele
Nitashukuru sana.Nitaiweka hapa muipate wote ndugu zangu
Barikiwa sana man nilikua nafikiria kupata kitu kama hiki... Angalau tuwe tunapata vifungu kidogo kidogo tukiwa tumepumzika...Kwanini usidownload pdf kisha ukatafuta software nzuri ya kusomea?
Biblia kwa Kiswahili na Kiingereza : Download
USITUMIE FILES HIZO KWA AJILI YA BIASHARA. KUPAKUA / DOWNLOAD DOCUMENT FILE AU PDF FILE, BOFYA KULIA (RIGHT-CLICK) JINA LA BIBLIA HAPO CHINI, CHAGUA ‘SAVE LINK …somabiblia.com
Nitashukuru sana.
Nadhani ni vizuri mkuu ukatuma hapa ili watu wengi wanufaike na injili isonge mbele
Utarename hilo file kwa kuondoa .mp3 extensionAisee
Umefika mbali hivi halafu unarudi nyuma tena miongo BC na AD.
Asante nilikuwa nataka setup kabisa ambayo unatumia hata offline.Utarename hilo file kwa kuondoa .mp3 extension
then utaunzip
then kwenye folder utaona file index.html
hiyo file utaifungua then Biblia itafunguka kupitia browser
Unaweza kutengeneza shortcut katika desktop au kuibookmark(kuiweka katika favourites) page ya browser yako
Nawatakia usomaji mwemaView attachment 2621590
Hata hiyo niliyoweka hapo ni oflineAsante nilikuwa nataka setup kabisa ambayo unatumia hata offline.
Huwa ipo, sema nimesahau namna ya kuipata.
Shukrani pia..Asante nilikuwa nataka setup kabisa ambayo unatumia hata offline.
Huwa ipo, sema nimesahau namna ya kuipata.
Nakushukuru sana mkuu. Hiki ndicho nilikuwa nakitafuta. Barikiwa sana.Tumia link hii unzip_this_file_and_run_UnboundBible_exe_file_qpqwusuqrxv – Google Drive download then unzip, then fungua UnboundBible.exe View attachment 2622488
AmenNakushukuru sana mkuu. Hiki ndicho nilikuwa nakitafuta. Barikiwa sana.