Wakuu,my new project nmeipita miaka 9 niko sahih na hyo gape,ni kabint udsm 1st yr.

Napoleone

JF-Expert Member
Joined
Apr 11, 2012
Posts
10,087
Reaction score
16,036
Wakuu haka katoto ni kapya kabsa kwenye list,na maulana akijalia ndo nataka kaje kua mke yaan plan ni kukajaza mapemaaa..maana ni kazur balaaa.

Nataka nijiweke mazimaa,makandokando yoote nitupe huko...je umr huu haka katoto kwel tutaenda sawa?

N.b mi mwaka huu mwishon ndo naiaga 20s,naingia uwanda mwingne,..
Binti ana 20 net.

Sorry typing error hapo kwenye gape=gap......
 
Kha we ndo unatafuta kilio ch uzee,hebu acha bint ale ujana wake kwanza akili imfungukr anatka nini maishan ukimuwahisha akili akajamfungukia ndoan utalia
 
Kha we ndo unatafuta kilio ch uzee,hebu acha bint ale ujana wake kwanza akili imfungukr anatka nini maishan ukimuwahisha akili akajamfungukia ndoan utalia
Mkuu huyu mtoto siwez mwacha,..tutajifunza hukohuko ukubwan,maana mi mwenyew nimechafua saaana,halaf ni mtoto wa mjin,huyu mtoto ni mpole mzur mtakatifu,kananipenda sana kananiita mnyamwezi..so haka katoto nadhan ntaendana nako mkuu,...ntakavumilia kale ujana
Nmekwepa mishale ming hata wivu sina skuhiz,ila nahis mbele ya haka kabint wivu utakuepo.
 
umri siku hizi sio issue wazee wa 50 watakachukua ukichelewa
 
Go ahead ila tusikuone huku jf ukilialia mke wangu hivi oh kabdilika mara anasali misa za ijumaa anarud jmos shaurilo
 
Wacha wachukue hao wanafwatwa na hela zao vijana tunafatwa kwa mashine zetu na wanatuletea mbesa toka kwa hao wazee
na haya mavyakula na pombe kuna wazee ni mashine kuliko vijana.wazee wa Kiswahili project yao ni kutunza mashine na anaweza akachukua ya kwako wanaliza watoto kama wanaume wa mikoani ha hah
 
Ndio gap sahihi mkuu, wale wa kupishana miaka miwili baada ya muda mkitembea pamoja watu wanaweza dhani unatembea na bibi yako.
 
na haya mavyakula na pombe kuna wazee ni mashine kuliko vijana.wazee wa Kiswahili project yao ni kutunza mashine na anaweza akachukua ya kwako wanaliza watoto kama wanaume wa mikoani ha hah
Labda wazee wa mikoan siyo hawa wa dar kazi kufia juu ya vifua kisa viagra ba Red Bull
 
Sasa hapa unaomba ushauri wa nini wakati ushafanya maamuzi?
 
kuna vizee vinapiga mashine vijana hawaoni ndani na haya maviroba, mafuta, bia na chupi za kubana.mzee wa kisambaa ni bendera chuma na mlingoti chuma .motto hata hela hataki ni mashine tu inatosha
 
Reactions: mfu
Ndio gap sahihi mkuu, wale wa kupishana miaka miwili baada ya muda mkitembea pamoja watu wanaweza dhani unatembea na bibi yako.
Hahahah,umeona maneno hayo mkuu,..hii ndo gap sahih mkuu,mtoto mbich,yaan ukikasogelea kananukia maziwa kabsaa,ni kazur balaa
 
Sasa hapa unaomba ushauri wa nini wakati ushafanya maamuzi?
Napima maoni tu mkuu,ila uamuz tayar nnao kichwan..nkimwacha mtoto huyu dunia itanilaan mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…