Wakuu,my new project nmeipita miaka 9 niko sahih na hyo gape,ni kabint udsm 1st yr.

Wakuu,my new project nmeipita miaka 9 niko sahih na hyo gape,ni kabint udsm 1st yr.

Mtaani kwetu kuna mzee ana miaka kama 55 hivi. Ana watoto 9 alozaa na mama.tofauti tofauti . Huyu mzee ni mtu wa bata sana msanii wa mjini na hajasoma. Baada ya kuona umri unamtupa mkono na hajaoa akaoa mdada mmoja bat mad nae mpuuzi tu. Akisafiri dada anatrmbea mpaka na wauza urembo wanaopita nyumbani kwake.juzi mwanzoni mwa mwaka dada alitoroka nyumbani na kwenda kuishi kusikojulikana.alivyoshinfwa na maisha akarudi na kumwambia mzee.alirubuniwa na jamaa hafi akampa papuchi.kwakua.mzee ni mpuizi akamdai jamaa fidia ya pesa ili wamalizanr ati kwakuwa anatrmbea na mkewe.kuwa makini sana na under age
Kwan mi nna miaka 55,..mi nna 29 bado sana
 
Mtaani kwetu kuna mzee ana miaka kama 55 hivi. Ana watoto 9 alozaa na mama.tofauti tofauti . Huyu mzee ni mtu wa bata sana msanii wa mjini na hajasoma. Baada ya kuona umri unamtupa mkono na hajaoa akaoa mdada mmoja bat mad nae mpuuzi tu. Akisafiri dada anatrmbea mpaka na wauza urembo wanaopita nyumbani kwake.juzi mwanzoni mwa mwaka dada alitoroka nyumbani na kwenda kuishi kusikojulikana.alivyoshinfwa na maisha akarudi na kumwambia mzee.alirubuniwa na jamaa hafi akampa papuchi.kwakua.mzee ni mpuizi akamdai jamaa fidia ya pesa ili wamalizanr ati kwakuwa anatrmbea na mkewe.kuwa makini sana na under age

Mjomba 55years huyo ni mzee kbs man!huwezi kumfananisha mtu wa under 40 na over 50
 
Ukiwa muislamu kama Mimi utakuwa unajua kipenzi chetu alioa binti Wa miaka 9
Sembuse 20!!
 
miaka 20 mnafikiria ndoa!?...kweli mmekutana na mambo yote ya dunia?
 
Back
Top Bottom