Wakuu nahitaji brevis kali

Wakuu nahitaji brevis kali

Awoooteeee mkuu kwanza hongera kwa kuamua kutafuta gari ambayo mapopoma wengi wanaiogopa ila kikubwa cha kuzingatia ni ukaguzi tena ukiwa na mtu anaejua magari vizuri au kama wewe mwenyewe ni mjuzi itakua poa sana. Brevis nyingi mjini injini ni mtori hazina safari ila bodi bado mbichi ukichukua hizi zinasumbua ndio pale utaichukia brevenga mbali na hapo nikutakie kila lenye kheri kwenye comfortability perfomance na unyama mwingi hapo road mafuta si kitu ni kama mkojo wa shetani tu.


Zingatia ubora uenjoy mjini
 
IMG_20231120_183849.jpg

Hii mwanangu aliivuta 5.4 iliingia bodi kidogo hapo kwenye taa ya kulia ila injini msumari sana kiufupi aliotea ndinga mkononi alafu kali. Brevis ni unyama flani ila mapopoma wanauogopa tu
 
Unyamwezi mwingi sana humu
Mkuu watu tunatiana uoga tu mimi mwenyewe jamaa alivyonambia atakamata brevis nilistuka nikawa namkwepa kila akiniambia nakuja town namwambia niko busy bas majuzi nikasema liwalo na liwe yeye ni mjuzi wa magari ukaguzi atafanya yeye mimi ni vitu vidogo vidogo ndio ntakagua basi tumezunguka sku ya kwanza siku inayofuata akakamata ndinga na katembea dar moshi zaidi ya 500km na hajasema kama inasumbua zaidi anaisifia mimbio na utulivu road
 
Ingia insta kuna page ya Mandela magari Mwanza,, nimepita juzi alikuanayo kali sana na bei ilikua ni mil3.9 tu,, kwa picha chombo ni kisu balaa sijajua mengine ya kiufundi,, jaribu kumcheki jamaa,,
 
Njoo nikuuzie pira langu. Brevis. Natumiaga kwa mitoko tu ya kidunia.
 
Back
Top Bottom