Wakuu najua mnapombeka, Mkesha wa Krismas, vichwani mnawaza ngono tu "Msisahau kupima ". Jamaa kaponea tundu la Sindano Gridi ya Taifa!

Wakuu najua mnapombeka, Mkesha wa Krismas, vichwani mnawaza ngono tu "Msisahau kupima ". Jamaa kaponea tundu la Sindano Gridi ya Taifa!

Carlos The Jackal

JF-Expert Member
Joined
Feb 6, 2017
Posts
25,725
Reaction score
78,589
Mwaka Fulan niliwah ishi sehem , Sasa pale nikafahamiana na Jamaa Mmoja darasa la Saba ila ana helaaa ( jamaa wa migodini).

Hivo tumekua washikaji tu wa salaam na mastori ya Maisha.

Muda fulan kanipigia Simu, Oyaaa kuna Manzi nmempima HIV Kwa kipimo Cha mdomo, Et kuna kamstari kamefifiaaaaaaa sanaaaaaa kaka , yaan Kamefifia sanaaa kanaonekana Kwa mbaliiiii ila mstari wa C umekoleza.

Nikajua tayari hiyo ni WEAKLY REACTIVE ( yaan Manzi ana Umeme) ila jamaa anatafuta namna ya kuni manipulate ili aendelee na uzinzi 🤣🤣 Sasa Mimi Huwa sipendi Mwana apotee kizembe 👇

Kwakua nilimsikia mazungumzo akiwa na demu, sikutaka niongee kwenye simu demu akisikia.

Nikamwambia hanaaaa, nikamsikia Demu anaßme "Sasa je " ila hapohapo nikamtumia meseji, Oyaaaa oyaaaaaa Usile mdemu kavu, haukujibu... Oyaaa oyaaaaa nmemtumia meseji kama tatu ndo akaanza kujibu.

Kumbe alifuata Ushauri wangu,

Kakuta huyo dada kaungua
Screenshot_20241224_205624~2.jpg

Wakuu, naendelea kusisitiza, Unapokua umepanga kuonana na mwanamke Kwa mara ya kwanza na hamjawah pina Afya, Basi usinywe Pombe, angalau ubakishe ka akili ka kukumbuka Msomi na hata kupima.

UKIMWI UPO!!.
 
Mwaka Fulan niliwah ishi sehem , Sasa pale nikafahamiana na Jamaa Mmoja darasa la Saba ila ana helaaa ( jamaa wa migodini).

Hivo tumekua washikaji tu wa salaam na mastori ya Maisha.

Muda fulan kanipigia Simu, Oyaaa kuna Manzi nmempima HIV Kwa kipimo Cha mdomo, Et kuna kamstari kamefifiaaaaaaa sanaaaaaa kaka , yaan Kamefifia sanaaa kanaonekana Kwa mbaliiiii ila mstari wa C umekoleza.

Nikajua tayari hiyo ni WEAKLY REACTIVE ( yaan Manzi ana Umeme) ila jamaa anatafuta namna ya kuni manipulate ili aendelee na uzinzi 🤣🤣 Sasa Mimi Huwa sipendi Mwana apotee kizembe 👇

Kwakua nilimsikia mazungumzo akiwa na demu, sikutaka niongee kwenye simu demu akisikia.

Nikamwambia hanaaaa, nikamsikia Demu anaßme "Sasa je " ila hapohapo nikamtumia meseji, Oyaaaa oyaaaaaa Usile mdemu kavu, haukujibu... Oyaaa oyaaaaa nmemtumia meseji kama tatu ndo akaanza kujibu.

Kumbe alifuata Ushauri wangu,

Kakuta Demu kaungua
View attachment 3184234

Wakuu, naendelea kusisitiza, Unapokua umepanga kuonana na mwanamke Kwa mara ya kwanza na hamjawah pina Afya, Basi usinywe Pombe, angalau ubakishe ka akili ka kukumbuka Msomi na hata kupima.

UKIMWI UPO!!.
Huu ndio urafiki unapaswa kuwa.. hongera sana endelea kuwa na moyo huo.
 
Mwaka Fulan niliwah ishi sehem , Sasa pale nikafahamiana na Jamaa Mmoja darasa la Saba ila ana helaaa ( jamaa wa migodini).

Hivo tumekua washikaji tu wa salaam na mastori ya Maisha.

Muda fulan kanipigia Simu, Oyaaa kuna Manzi nmempima HIV Kwa kipimo Cha mdomo, Et kuna kamstari kamefifiaaaaaaa sanaaaaaa kaka , yaan Kamefifia sanaaa kanaonekana Kwa mbaliiiii ila mstari wa C umekoleza.

Nikajua tayari hiyo ni WEAKLY REACTIVE ( yaan Manzi ana Umeme) ila jamaa anatafuta namna ya kuni manipulate ili aendelee na uzinzi 🤣🤣 Sasa Mimi Huwa sipendi Mwana apotee kizembe 👇

Kwakua nilimsikia mazungumzo akiwa na demu, sikutaka niongee kwenye simu demu akisikia.

Nikamwambia hanaaaa, nikamsikia Demu anaßme "Sasa je " ila hapohapo nikamtumia meseji, Oyaaaa oyaaaaaa Usile mdemu kavu, haukujibu... Oyaaa oyaaaaa nmemtumia meseji kama tatu ndo akaanza kujibu.

Kumbe alifuata Ushauri wangu,

Kakuta huyo dada kaungua

Wakuu, naendelea kusisitiza, Unapokua umepanga kuonana na mwanamke Kwa mara ya kwanza na hamjawah pina Afya, Basi usinywe Pombe, angalau ubakishe ka akili ka kukumbuka Msomi na hata kupima.

UKIMWI UPO!!.
Huyo mwamba hata kiswahili hajui msukuma nini
 
Mwaka Fulan niliwah ishi sehem , Sasa pale nikafahamiana na Jamaa Mmoja darasa la Saba ila ana helaaa ( jamaa wa migodini).

Hivo tumekua washikaji tu wa salaam na mastori ya Maisha.

Muda fulan kanipigia Simu, Oyaaa kuna Manzi nmempima HIV Kwa kipimo Cha mdomo, Et kuna kamstari kamefifiaaaaaaa sanaaaaaa kaka , yaan Kamefifia sanaaa kanaonekana Kwa mbaliiiii ila mstari wa C umekoleza.

Nikajua tayari hiyo ni WEAKLY REACTIVE ( yaan Manzi ana Umeme) ila jamaa anatafuta namna ya kuni manipulate ili aendelee na uzinzi 🤣🤣 Sasa Mimi Huwa sipendi Mwana apotee kizembe 👇

Kwakua nilimsikia mazungumzo akiwa na demu, sikutaka niongee kwenye simu demu akisikia.

Nikamwambia hanaaaa, nikamsikia Demu anaßme "Sasa je " ila hapohapo nikamtumia meseji, Oyaaaa oyaaaaaa Usile mdemu kavu, haukujibu... Oyaaa oyaaaaa nmemtumia meseji kama tatu ndo akaanza kujibu.

Kumbe alifuata Ushauri wangu,

Kakuta huyo dada kaungua

Wakuu, naendelea kusisitiza, Unapokua umepanga kuonana na mwanamke Kwa mara ya kwanza na hamjawah pina Afya, Basi usinywe Pombe, angalau ubakishe ka akili ka kukumbuka Msomi na hata kupima.

UKIMWI UPO!!.
UPO WAPI
 
Mwaka Fulan niliwah ishi sehem , Sasa pale nikafahamiana na Jamaa Mmoja darasa la Saba ila ana helaaa ( jamaa wa migodini).

Hivo tumekua washikaji tu wa salaam na mastori ya Maisha.

Muda fulan kanipigia Simu, Oyaaa kuna Manzi nmempima HIV Kwa kipimo Cha mdomo, Et kuna kamstari kamefifiaaaaaaa sanaaaaaa kaka , yaan Kamefifia sanaaa kanaonekana Kwa mbaliiiii ila mstari wa C umekoleza.

Nikajua tayari hiyo ni WEAKLY REACTIVE ( yaan Manzi ana Umeme) ila jamaa anatafuta namna ya kuni manipulate ili aendelee na uzinzi 🤣🤣 Sasa Mimi Huwa sipendi Mwana apotee kizembe 👇

Kwakua nilimsikia mazungumzo akiwa na demu, sikutaka niongee kwenye simu demu akisikia.

Nikamwambia hanaaaa, nikamsikia Demu anaßme "Sasa je " ila hapohapo nikamtumia meseji, Oyaaaa oyaaaaaa Usile mdemu kavu, haukujibu... Oyaaa oyaaaaa nmemtumia meseji kama tatu ndo akaanza kujibu.

Kumbe alifuata Ushauri wangu,

Kakuta huyo dada kaungua

Wakuu, naendelea kusisitiza, Unapokua umepanga kuonana na mwanamke Kwa mara ya kwanza na hamjawah pina Afya, Basi usinywe Pombe, angalau ubakishe ka akili ka kukumbuka Msomi na hata kupima.

UKIMWI UPO!!.
Mzee umetuuzia Chai, La saba Mwenye hela huwa anajua kusoma


Yaani.ile akili ya kupata hela huwa inamwezesha kujua kusoma na kuandika hata kama hajaenda shule.

Ila huyo mwana wako ni kilaza na hawezi kuwa na hiyo hela.

Juzi tumesimuliwa jamaa hajui kusoma wala kuandika lakini amehifadhi namba zaidi ya 20 kichwani za simu🤣🤣😅. Huyu ukiambiwa ana hela unakubali.
 
Mzee umetuuzia Chai, La saba Mwenye hela huwa anajua kusoma


Yaani.ile akili ya kupata hela huwa inamwezesha kujua kusoma na kuandika hata kama hajaenda shule.

Ila huyo mwana wako ni kilaza na hawezi kuwa na hiyo hela.

Juzi tumesimuliwa jamaa hajui kusoma wala kuandika lakini amehifadhi namba zaidi ya 20 kichwani za simu🤣🤣😅. Huyu ukiambiwa ana hela unakubali.
hahah Jamaa Kwa meseji Huwa hamuwezi jibizana meseji zaidi ya tano, nadhan ndio maana mawasiliano yake anatumia kupiga simu

Nenda Kahama uonane na Vijana hawajui kuandika Wala Kusoma , ila wanajua Hela, na Unakuta ana Begi amejaza mabunda ya msimbazi tupu.
 
hahah Jamaa Kwa meseji Huwa hamuwezi jibizana meseji zaidi ya tano, nadhan ndio maana mawasiliano yake anatumia kupiga simu

Nenda Kahama uonane na Vijana hawajui kuandika Wala Kusoma , ila wanajua Hela, na Unakuta ana Begi amejaza mabunda ya msimbazi tupu.
Wa hivyo hata ukimtumia msg unaona anakuibukia na Calll live.....Unasemaje?😅😅
 
Back
Top Bottom