Wakuu najua mnapombeka, Mkesha wa Krismas, vichwani mnawaza ngono tu "Msisahau kupima ". Jamaa kaponea tundu la Sindano Gridi ya Taifa!

Wakuu najua mnapombeka, Mkesha wa Krismas, vichwani mnawaza ngono tu "Msisahau kupima ". Jamaa kaponea tundu la Sindano Gridi ya Taifa!

Wa hivyo hata ukimtumia msg unaona anakuibukia na Calll live.....Unasemaje?😅😅
Hakika ,jamaa hapo amejitahidii sana sana , na nadhan nayeye hakutaka demu asikie nachomshauri, hivo kajitutumua kujibu .


Wakati fulan unaweza kubali kua haya Maisha Kila MTU ana lake !!.
 
Hakika ,jamaa hapo amejitahidii sana sana , na nadhan nayeye hakutaka demu asikie nachomshauri, hivo kajitutumua kujibu .


Wakati fulan unaweza kubali kua haya Maisha Kila MTU ana lake !!.
Watu wengine hawakupata fursa ya kwenda shule kutokana na Situation na circumstances lakini haimanishi kwamba hawana Akili.

Wasomi tumejenga kasumba kwamba mtu ambayw hajaenda shule basi tunamchukulia hana akili
 
Mwaka Fulan niliwah ishi sehem , Sasa pale nikafahamiana na Jamaa Mmoja darasa la Saba ila ana helaaa ( jamaa wa migodini).

Hivo tumekua washikaji tu wa salaam na mastori ya Maisha.

Muda fulan kanipigia Simu, Oyaaa kuna Manzi nmempima HIV Kwa kipimo Cha mdomo, Et kuna kamstari kamefifiaaaaaaa sanaaaaaa kaka , yaan Kamefifia sanaaa kanaonekana Kwa mbaliiiii ila mstari wa C umekoleza.

Nikajua tayari hiyo ni WEAKLY REACTIVE ( yaan Manzi ana Umeme) ila jamaa anatafuta namna ya kuni manipulate ili aendelee na uzinzi 🤣🤣 Sasa Mimi Huwa sipendi Mwana apotee kizembe 👇

Kwakua nilimsikia mazungumzo akiwa na demu, sikutaka niongee kwenye simu demu akisikia.

Nikamwambia hanaaaa, nikamsikia Demu anaßme "Sasa je " ila hapohapo nikamtumia meseji, Oyaaaa oyaaaaaa Usile mdemu kavu, haukujibu... Oyaaa oyaaaaa nmemtumia meseji kama tatu ndo akaanza kujibu.

Kumbe alifuata Ushauri wangu,

Kakuta huyo dada kaungua

Wakuu, naendelea kusisitiza, Unapokua umepanga kuonana na mwanamke Kwa mara ya kwanza na hamjawah pina Afya, Basi usinywe Pombe, angalau ubakishe ka akili ka kukumbuka Msomi na hata kupima.

UKIMWI UPO!!.
Huyo Jamaa anavyo andika tu utajuwa ni Msukuma au Muha kavamia mji na anashobokea machangu wanaojichubua. Ungemwacha tu ale huyo demu, ugonjwa si wake wewe unakuhusu nini?
 
Back
Top Bottom