Cash Generating Unit
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 13,286
- 39,418
Mkuu huu unapatikanaje afu nauskiaga tu kwa mitandao
Sent from my iPhone using JamiiForums
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dukan jau mkuu[emoji119][emoji119]
Sent from my iPhone using JamiiForums
Hiyo yote kutaka kumkomesha mwanamke
Ukitaka cha uvungun lzma uiname fala wew
Sent from my iPhone using JamiiForums
Unaanzaje anzaje ingia shop kwa mfano[emoji119][emoji119]
Sent from my iPhone using JamiiForums
WamasaiMkuu huu unapatikanaje afu nauskiaga tu kwa mitandao
Sent from my iPhone using JamiiForums
Kula mboga mboga, supu ya dagaa kauzu, mchuzi wa pweza na yai bichi (kienyeji)
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkongoraha unaharufu ya kipeke sana labda kama huujui ndyo utauziwa fambaWamasai wahuni tuu,wamekuw wajanja hapa mjin[emoji23][emoji23]
Sent from my iPhone using JamiiForums
Mkuu yai bichi linasaidia sana kuongeza uimara kwenye kiwanda cha kujaza duniaYai bichi inakuaje hapa daah asee[emoji23][emoji23]
Sent from my iPhone using JamiiForums
Mkongoraha unaharufu ya kipeke sana labda kama huujui ndyo utauziwa famba
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu tunajiua pasipo kujuaAcheni kujiharibu na tiba za ajabu ajabu,kula lishe nzuri,mazoezi, na usiwe na msongo wa mawazo utakuwa vizuri tu.
huyu jamaa siku hizi haonekani au kabadili ID[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent from my iPhone using JamiiForums
kuna jamaa mmoja nilimwangali youtube,alikuwa anafanyiwa upasuaji wa kunenepesha,wamechokonoa sehemu ya karibu na kibofu wakatoa mafuta na kuyapandikiza kwenye maungo yake;inasikitisha sana.Swali najiuliza, anafanya hivyo ili iweje,au ni ujana tu ndio unamsumbua.Mkuu tunajiua pasipo kujua
Na test mitambo
pole sana kwa yaliyokukutaWakuu naombeni kufahamu bei ya hizi dawa
1.viagra
2.Erecto
3.Sildenafil
4.vimbi la mkongo
5.Mkongo raha
Na ipi nzuri atlist haina madharaaa sana.
Sent from my iPhone using JamiiForums