Wakuu naomba kufahamu bei ya hizi dawa

Wakuu naomba kufahamu bei ya hizi dawa

Fungua duka la MEN ISSUE utapata pesa, maduka haya nimeyashuhudia mengi sana ulaya na America, duka la kuuza zina za ngono za kiume, na wanawake huwa na maduka yao, yote haya ni kuntukuza shetani. 😀😀😀
 
Wakuu naombeni kufahamu bei ya hizi dawa
1.viagra
2.Erecto
3.Sildenafil
4.vimbi la mkongo
5.Mkongo raha
Na ipi nzuri atlist haina madharaaa sana.


Sent from my iPhone using JamiiForums
Screenshot_20231021-135149.jpg
 
Back
Top Bottom