Wakuu naomba kujua aina ya maswali ya interview kazi za kuandikisha wapiga kura

Wakuu naomba kujua aina ya maswali ya interview kazi za kuandikisha wapiga kura

Atwoki

JF-Expert Member
Joined
Aug 22, 2015
Posts
706
Reaction score
383
Wakubwa, naomba kufahamu. Nimteuliwa kwenye usaili wa kazi ya kuandikisha wakati wa Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura. Naomba mbinu na ufahamu kuhusu aina ya maswali wanayouliza.

Nitashukuru.
 
1.Taja sifa 5 za mpiga kura
2.Taja taasisi inayosimamia masuala yote yanahusu uchaguzi wa mkuu
3. Eleza maana ya uboreshaji wa daftari la wapiga kura
4.Kompyuta ni nn?
5.Taja sifa 5 za mwendesha vifaa vya bayometriki
 
Unajisumbua bure tu izo nafas zote ni za vijana wa ccm labda na ww uwe ni miongoni mwao na kama ni miongoni mwao usisumbuke kutak kujua ayo maswali mtapewa maelekezo kweny ofisi za chama
 
u
Wakubwa, naomba kufahamu. Nimteuliwa kwenye usaili wa kazi ya kuandikisha wakati wa Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura. Naomba mbinu na ufahamu kuhusu aina ya maswali wanayouliza.

Nitashukuru.
umeteuliwa?
 
1.Taja sifa 5 za mpiga kura
2.Taja taasisi inayosimamia masuala yote yanahusu uchaguzi wa mkuu
3. Eleza maana ya uboreshaji wa daftari la wapiga kura
4.Kompyuta ni nn?
5.Taja sifa 5 za mwendesha vifaa vya bayometriki
Asnte mkuu
 
Back
Top Bottom