Wakuu naomba niwaage humu Jf nimepashindwa kwa kweli

Wote mlio Comments mungu awabariki sana nitarudi baadae kidogo, nije kuwabariki kwa Comments zenu.
 
Mkuu hongera kwa ubunifu wa kuanzisha uzi na kupata wachangiaji wengi.

Ili kupata wachangiaji wengi lazima uwe mbunifu.

Keep it up Mkuu!!
 
Hiyo siyo sababu ya kuaga, hakuna mashindano hapa, wewe sema hisia zako, soma vinavyokuhusu tambaa mbele, like inakusaidia ninin wewe kilaza, una judge vipi kwamba uzi wako una maana? others will judge you, si wewe u judge tena
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Duuu
 
Mkuu hongera kwa ubunifu wa kuanzisha uzi na kupata wachangiaji wengi.

Ili kupata wachangiaji wengi lazima uwe mbunifu.

Keep it up Mkuu!!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Ahsante mkuu hila, watu Wasiojulikana wako wengi sana humu.
 

Ni marufuku kukata tamaa!
 
Haaaaahaa Mkuu timiza wajibu wako mambo mengine ni matokeo tu. Kama ulichoandika ni kizuri na watu hawaja comment au ku like hiyo sio jukumu lako,cha msingi wewe umeshaelimisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…