Wakuu naomba niwaage humu Jf nimepashindwa kwa kweli

Wakuu naomba niwaage humu Jf nimepashindwa kwa kweli

Du ndg yangu Abbasfarudume , imenibidi nicheke na kumkumbuka yule mwanamziki Husen Machozi aliyeimba nitoke vipi... Zilipendwa sasa. Lakini nadhani utakuwa umeghairi kuaga kwa leo na hutokaa ufanye hivyo. JF ni sehemu ambayo huwezi kuwa bored hata kidogo, always kuna vitu vipya na kuna almost kila kitu. Unaweza kumpuzika tu kama uko busy lakini ukipata nafasi unarudi tena na tena.

Mwisho kabisa ushauri katika uandishi wako mkuu, jitahidi kuandika vizuri, weka nukta/kituo pale ambapo inatakiwa kiwekwe, weka koma pale ambapo inatakiwa iwekwe, anza paragraph mpya nk. Ukiandika habari ndefu haina hivyo vitu na pia ina makosa ya kiuandishi ni rahisi sana watu kuipotezea na mwisho wa siku utaishia kuona kama jamii hii haikupendi ama ina ubaguzi. Hapa JF tulio wengi hatufahamiani kwa sura wala majina halisi, hivyo siyo rahisi sana kuwa na hizo element za ubaguzi nk.

Ahsante wana Jf nadhani mmemuonesha upendo wa hali ya juu sana ndugu yetu Abbasfarudume na nina imani ameghairi kusudio lake la kuondoka.
 
Du ndg yangu Abbasfarudume , imenibidi nicheke na kumkumbuka yule mwanamziki Husen Machozi aliyeimba nitoke vipi... Zilipendwa sasa. Lakini nadhani utakuwa umeghairi kuaga kwa leo na hutokaa ufanye hivyo. JF ni sehemu ambayo huwezi kuwa bored hata kidogo, always kuna vitu vipya na kuna almost kila kitu. Unaweza kumpuzika tu kama uko busy lakini ukipata nafasi unarudi tena na tena.

Mwisho kabisa ushauri katika uandishi wako mkuu, jitahidi kuandika vizuri, weka nukta/kituo pale ambapo inatakiwa kiwekwe, weka koma pale ambapo inatakiwa iwekwe, anza paragraph mpya nk. Ukiandika habari ndefu haina hivyo vitu na pia ina makosa ya kiuandishi ni rahisi sana watu kuipotezea na mwisho wa siku utaishia kuona kama jamii hii haikupendi ama ina ubaguzi. Hapa JF tulio wengi hatufahamiani kwa sura wala majina halisi, hivyo siyo rahisi sana kuwa na hizo element za ubaguzi nk.

Ahsante wana Jf nadhani mmemuonesha upendo wa hali ya juu sana ndugu yetu Abbasfarudume na nina imani ameghairi kusudio lake la kuondoka.
Ahsanteee mkuu wangu kwa mawazo, na ushauri wako nzuri, na pia ahsante sana kwa Comments Ubarikiwe sana.
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji12] [emoji12] Nimesema nimehairisha sitoki tena Jf.
 
Kuna kama ka Upendeleo cha ku comments na kutoa like kwenye nyuzi au thread kuna members wanatoa uzi wakati mwingine auna hata mvuto au mashiko lkn wanapeana like na comments za kutosha na za kumwaga, lkn wenzangu na sisi hata tutoe uzi wenye nzuri na wenye mashiko wanapita wanajifanya kama awauoni au mtu aki comments ausifii anatoka nje ya hoja na kukandia Uzi wako wakati mwingine na kashfa juu sasa Ubaguzi kama huu aufai kabisa sisi wote humu ni members mimi mbona huwa sichagui wala kuangalia nani alietoa Uzi nikiona yoyote humu kama katoa uzi nzuri na comments, sasa mkiniona kimya msishangae wakuu nitakuwa nimeondoka humu Jf muda wowote ule Nawasilsha: Angalizo sitaki povu...
Kwaheri mkuu ila naona hata kule huonekani au nako uliaga?
 
Back
Top Bottom