Sawa ni nini kuaga na kutotoka au,?Sawa
Lkn message sent mkuu wahusika wamesikia![emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]wenzako tushaona jambo hilo siku nyingi, tumeamua ku like na ku comment tu,mambo ya kuanzisha uzi tushaacha.
Ina maana ni kweri kuwa tatizo lako ilikua hilo?Nashukuru sana mkuu
Komaaa mkuu hadi kielewekeAfu najaribu kuwaza kwa sauti tu kama ww mwenyeji humu unalalamika kuhusu likes na comments sembuse sisi wageni tusemeje kwa mfano 😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
Wahusika wamenisikia tayari mkuuIla huu uzi umenipa raha sana
Nilkuwa natafuta KIKI nimeshaipata tayari sina tatizo na mtu mkuuIna maana ni kweri kuwa tatizo lako ilikua hilo?
Atoki mtu humu Jf tamu wwMe nafikiri ungeleta uzi mpya wa kutuaga Rasmi Maana huu umesha pata Comments na likes kibao 😛😛😀😀
Kwa hiyo umetengua kauli hutoki tena JF?Nilkuwa natafuta KIKI nimeshaipata tayari sina tatizo na mtu mkuu
Nani atoke???Kwa hiyo umetengua kauli hutoki tena JF?
Sawa MkuuKomaaa mkuu hadi kieleweke
Alafu insta sipawezi kabisa mkuu mimi nakomaa humu humu mapito tu haya mkuu Jf Naipenda sana!Unaamia wapi? INSTA?
Pamoja sanaSawa Mkuu
AbassifarudumeNani atoke???
Hujafika unakokwenda?Nashukuru sana mkuu