Wakuu naomba niwaage humu Jf nimepashindwa kwa kweli

Wakuu naomba niwaage humu Jf nimepashindwa kwa kweli

Kuna kama ka Upendeleo cha ku comments na kutoa like kwenye nyuzi au thread kuna members wanatoa uzi wakati mwingine auna hata mvuto au mashiko lkn wanapeana like na comments za kutosha na za kumwaga, lkn wenzangu na sisi hata tutoe uzi wenye nzuri na wenye mashiko wanapita wanajifanya kama awauoni au mtu aki comments ausifii anatoka nje ya hoja na kukandia Uzi wako wakati mwingine na kashfa juu sasa Ubaguzi kama huu aufai kabisa sisi wote humu ni members mimi mbona huwa sichagui wala kuangalia nani alietoa Uzi nikiona yoyote humu kama katoa uzi nzuri na comments, sasa mkiniona kimya msishangae wakuu nitakuwa nimeondoka humu Jf muda wowote ule Nawasilsha: Angalizo sitaki povu...
Kwa uzi huu kiu yako itaisha
 
Kuna kama ka Upendeleo cha ku comments na kutoa like kwenye nyuzi au thread kuna members wanatoa uzi wakati mwingine auna hata mvuto au mashiko lkn wanapeana like na comments za kutosha na za kumwaga, lkn wenzangu na sisi hata tutoe uzi wenye nzuri na wenye mashiko wanapita wanajifanya kama awauoni au mtu aki comments ausifii anatoka nje ya hoja na kukandia Uzi wako wakati mwingine na kashfa juu sasa Ubaguzi kama huu aufai kabisa sisi wote humu ni members mimi mbona huwa sichagui wala kuangalia nani alietoa Uzi nikiona yoyote humu kama katoa uzi nzuri na comments, sasa mkiniona kimya msishangae wakuu nitakuwa nimeondoka humu Jf muda wowote ule Nawasilsha: Angalizo sitaki povu...
Nimeipenda aina yako ya kusaka koment na likes za jf

Umesahau mkuu

Likes na koment nyingi zinapatikana fb na insta aseee, humu ujipime kiwango chako na namna ya kuwasilisha nyuzi zako, kwani inakubidi uwe mbunifu na ujue walioko humu ni akina nani na wanapenda nini??

Umeanza kukuwa sasa, na mchezo wa jf unaohitaji kuafikirisha watu umeanza kuujua, rudi uone una komenti ngapi mpaka sasa na likes ngapi?
Japo jf mimi naonaga mwisho ni 5 tuu sijui kwa wengine asee[emoji15] [emoji15] [emoji15]

Ukipenda tangulia mbele za dunia ya ukimya, lakini humu fulu kelele na kila kelele humu ina maana yake
 
Nimeipenda aina yako ya kusaka koment na likes za jf

Umesahau mkuu

Likes na koment nyingi zinapatikana fb na insta aseee, humu ujipime kiwango chako na namna ya kuwasilisha nyuzi zako, kwani inakubidi uwe mbunifu na ujue walioko humu ni akina nani na wanapenda nini??

Umeanza kukuwa sasa, na mchezo wa jf unaohitaji kuafikirisha watu umeanza kuujua, rudi uone una komenti ngapi mpaka sasa na likes ngapi?
Japo jf mimi naonaga mwisho ni 5 tuu sijui kwa wengine asee[emoji15] [emoji15] [emoji15]

Ukipenda tangulia mbele za dunia ya ukimya, lakini humu fulu kelele na kila kelele humu ina maana yake
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji120] [emoji120] Ahsante sana mkuu
 
Nimeipenda aina yako ya kusaka koment na likes za jf

Umesahau mkuu

Likes na koment nyingi zinapatikana fb na insta aseee, humu ujipime kiwango chako na namna ya kuwasilisha nyuzi zako, kwani inakubidi uwe mbunifu na ujue walioko humu ni akina nani na wanapenda nini??

Umeanza kukuwa sasa, na mchezo wa jf unaohitaji kuafikirisha watu umeanza kuujua, rudi uone una komenti ngapi mpaka sasa na likes ngapi?
Japo jf mimi naonaga mwisho ni 5 tuu sijui kwa wengine asee[emoji15] [emoji15] [emoji15]

Ukipenda tangulia mbele za dunia ya ukimya, lakini humu fulu kelele na kila kelele humu ina maana yake
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji120] [emoji120] Ahsante sana mkuu
 
Kuna kama ka Upendeleo cha ku comments na kutoa like kwenye nyuzi au thread kuna members wanatoa uzi wakati mwingine auna hata mvuto au mashiko lkn wanapeana like na comments za kutosha na za kumwaga, lkn wenzangu na sisi hata tutoe uzi wenye nzuri na wenye mashiko wanapita wanajifanya kama awauoni au mtu aki comments ausifii anatoka nje ya hoja na kukandia Uzi wako wakati mwingine na kashfa juu sasa Ubaguzi kama huu aufai kabisa sisi wote humu ni members mimi mbona huwa sichagui wala kuangalia nani alietoa Uzi nikiona yoyote humu kama katoa uzi nzuri na comments, sasa mkiniona kimya msishangae wakuu nitakuwa nimeondoka humu Jf muda wowote ule Nawasilsha: Angalizo sitaki povu...
Basi sawa
 
Duuh mkuu pole sana aisee..usijipe shida sana kuhusu hizi ishu

Anyways kila la heri uko uendapo
 
Kuna kama ka Upendeleo cha ku comments na kutoa like kwenye nyuzi au thread kuna members wanatoa uzi wakati mwingine auna hata mvuto au mashiko lkn wanapeana like na comments za kutosha na za kumwaga, lkn wenzangu na sisi hata tutoe uzi wenye nzuri na wenye mashiko wanapita wanajifanya kama awauoni au mtu aki comments ausifii anatoka nje ya hoja na kukandia Uzi wako wakati mwingine na kashfa juu sasa Ubaguzi kama huu aufai kabisa sisi wote humu ni members mimi mbona huwa sichagui wala kuangalia nani alietoa Uzi nikiona yoyote humu kama katoa uzi nzuri na comments, sasa mkiniona kimya msishangae wakuu nitakuwa nimeondoka humu Jf muda wowote ule Nawasilsha: Angalizo sitaki povu...
Mkuu nadhani kuwepo kwetu hapa JF si kupata likes.Nia ni kuelimishana.Kwani ukipata likes unapata faida gani,mbona hamna.Hata hivyo JF ya leo, sio ya zamani ndugu yangu.Ufahamu wa vijana wetu wengi waliomo humu leo ni mdogo sana katika mambo mengi,so they need help.Ni kweli kwa mfano kwamba ukileta a professional au thread yenye mantiki, mara nyingi hawatachangia sana.Wao wanapenda zaidi vitu vilivyokaa kimtaani taani hivi,things which they can associate with in their daily life.So don't give up, kama nia yako ni kuelimisha,unless nia yako as it seems, ni likes.Hata kama hawakusoma wengi na kukupa likes,those who matter will have read it.
 
Back
Top Bottom