Wakuu natafuta mbegu ya nguruwe nzuri (durec)

Wakuu natafuta mbegu ya nguruwe nzuri (durec)

zyuho

JF-Expert Member
Joined
Jun 12, 2019
Posts
220
Reaction score
348
Kama kichwa kinavojidadavua hapo juu, mimi ni kijana wa makamo naishi Dare es Salaam,

Nafanya kazi kwenye government company hapahapa mjini kwa muda kidogo najihusisha na kilimo cha bustani (hortculture) Kijiji kimoja huko Kilosa Morogoro.

Sasa kutokana na kazi za watu ,Imekua ngumu sana kwangu ku manage shamba 100% kutokana na umbali, Sasa nataka nipate mbegu bora ya kitimoto niwaweke kwenye kipori changu bagamoyo vijijini hapo.

Najua JamiiForums ni Platform kubwa sana na lina jitosheleza kwa majibu ya maswali yote kutokana uwepo wa watu makini sana na wenye uchu wa mambo chanya.

Nawasilisha kwenu wakuu:
 
Kama kichwa kinavojidadavua hapo juu, mimi ni kijana wa makamo naishi Dare es Salaam,

Nafanya kazi kwenye government company hapahapa mjini kwa muda kidogo najihusisha na kilimo cha bustani (hortculture) Kijiji kimoja huko Kilosa Morogoro.

Sasa kutokana na kazi za watu ,Imekua ngumu sana kwangu ku manage shamba 100% kutokana na umbali, Sasa nataka nipate mbegu bora ya kitimoto niwaweke kwenye kipori changu bagamoyo vijijini hapo.

Najua JamiiForums ni Platform kubwa sana na lina jitosheleza kwa majibu ya maswali yote kutokana uwepo wa watu makini sana na wenye uchu wa mambo chanya.

Nawasilisha kwenu wakuu:
Ukiipata nishtue boss
 
Kama kichwa kinavojidadavua hapo juu, mimi ni kijana wa makamo naishi Dare es Salaam,

Nafanya kazi kwenye government company hapahapa mjini kwa muda kidogo najihusisha na kilimo cha bustani (hortculture) Kijiji kimoja huko Kilosa Morogoro.

Sasa kutokana na kazi za watu ,Imekua ngumu sana kwangu ku manage shamba 100% kutokana na umbali, Sasa nataka nipate mbegu bora ya kitimoto niwaweke kwenye kipori changu bagamoyo vijijini hapo.

Najua JamiiForums ni Platform kubwa sana na lina jitosheleza kwa majibu ya maswali yote kutokana uwepo wa watu makini sana na wenye uchu wa mambo chanya.

Nawasilisha kwenu wakuu:
Njoo PM
 
Kama kichwa kinavojidadavua hapo juu, mimi ni kijana wa makamo naishi Dare es Salaam,

Nafanya kazi kwenye government company hapahapa mjini kwa muda kidogo najihusisha na kilimo cha bustani (hortculture) Kijiji kimoja huko Kilosa Morogoro.

Sasa kutokana na kazi za watu ,Imekua ngumu sana kwangu ku manage shamba 100% kutokana na umbali, Sasa nataka nipate mbegu bora ya kitimoto niwaweke kwenye kipori changu bagamoyo vijijini hapo.

Najua JamiiForums ni Platform kubwa sana na lina jitosheleza kwa majibu ya maswali yote kutokana uwepo wa watu makini sana na wenye uchu wa mambo chanya.

Nawasilisha kwenu wakuu:
Nenda instagram andika....pig farm....utawapata wemgi sanaa....
 
Ingia insta kuna
Malafyale pig farms
J&d

Ila piglet wao price tag ni 1m
 
Nafuga hao hapo cross ya duroc large white kuna sababu kwanini nafuga cross.
Bei ya vitoto miezi 2 ni laki2
Nipo kiluvya gogoni dsm
0755404226.
Kutokana na nature ya kazi zangu nje ya ufugaji please Andika msg nitakupigia mimi
 

Attachments

  • 20241026_092955.mp4
    34.3 MB
  • Thanks
Reactions: ywf
0755404226
 

Attachments

  • 20241017_061649.mp4
    62.9 MB
Back
Top Bottom